Hivi hawa marefa wa kibongo huwa mna watoa kijiji gani?

Hahaha,, halafu huwa wanajidanganya pia dakika za kipindi cha nyongeza haiziongezeki! Wew ujilaze weeee af muda uishe ili iweje??!!!
ha ha vyura mmejisahaulisha kipa dakika ya 87 kajilaza hadi dakika ya 90 inafika hajaamka! achilia mbali wengine bila kuguswa wanajilaza hadi waletewe machela!
 
Dah! yaani nilitamani kuvunja video pale nilipoona refa anaongeza dakika 7' tukio hili limesababisha kuwavunja nguvu wachezaji wa jkt na kuweza kufungwa,,
Ila Simba Sc mmebebwa na refa! dakika 7' si bora angeOngeza hata 4'
Unless km unaleta ushabiki wa Simba na Yanga nitakuelewa, ila km ni swala la dakika 7 kuongezwa, km ni mfuatiliaji wa mpira kuongezwa dakika 7 sio hoja ya msingi Kwani ht huko kwenye ligi kubwa zinaongezwa
 
Mnavolalamika kana kwamba hizo dkk hazikuwahusu JKT. Au walisema jkt wanataka sare?
 
Hivi mlifikaje fikaje huko CAF QUARTER FINALS, hamuoni ile laana ya kupigwa hamsa hamsa bado inawatafuna pa1 na kubebwa kote huku[emoji848][emoji1787]
Kwani nyie tuliwafungajefungaje juzi hapa taifa??kama kuongeza dakika nikubebwa mbona hata nyie mnabebwa
 
Hata sielewi kwamba mliwafunga Timu ya Wananchi hamsa hamsa mpaka wakabebeshwa kikapu cha magoli 17[emoji848][emoji23]
Hiyo timu iliyofungwa hamsahamsa ndo imewalawiti yanga juzijuzi pale taifa...yaani yanga waligeuzwa wakapigwa kimoja cha makalioni na timu bovu linalopigwa hamsahamsa
 
Hiyo timu iliyofungwa hamsahamsa ndo imewalawiti yanga juzijuzi pale taifa...yaani yanga waligeuzwa wakapigwa kimoja cha makalioni na timu bovu linalopigwa hamsahamsa
Kagera FC amekusikia kwa kuwa huwa una mahaba naye sana maana haijawahipita hata mwaka m1 bila ya kumpatia pointi 3.

Pole sana mzee wa hamsa Jamaa[emoji38]
 
Kagera FC amekusikia kwa kuwa huwa una mahaba naye sana maana haijawahipita hata mwaka m1 bila ya kumpatia pointi 3.

Pole sana mzee wa hamsa Jamaa[emoji38]
Yaani hilo timu bovu la simba linalofungwa hamsahamsa linafungwa mpaka na kina kagera ndo lililowageuza yanga likawaingilia kinyume na maumbile kwa kimoja cha makalioni juzijuzi taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…