Hivi hawa marefa wa kibongo huwa mna watoa kijiji gani?

View attachment 1084985
Aliyewaita vyura mbute mbute gongo wazi hakukosea. Akili zenu ziko makalioni kama chura ya snura
[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Dah! yaani nilitamani kuvunja video pale nilipoona refa anaongeza dakika 7' tukio hili limesababisha kuwavunja nguvu wachezaji wa jkt na kuweza kufungwa,,
Ila Simba Sc mmebebwa na refa! dakika 7' si bora angeOngeza hata 4'
Siku yanga anafungwa na Lipuli ziliongezwa hizo hizo dk 7 mbona hamkulalamika?? Malipo hapa hapa duniani mbinguni tunaweka sahihi tu
 
Angeshinda jkt mngewapongeza marefa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo mana @hajimanara kawakumbusha Mbona nyie mliongezewa dakika 7 na lipuli iringa [emoji1787][emoji1787]
 
We eti refa anaitwa Kambuzi unategemea ataitwa na Caf huyu kuchezesha Afcon?
 
Ile game ya VYURA na AZAM kuna penalty Azam walinyimwa! Refa katoa advantage ndani ya 18! Shabash! Hakuna advantage ndani ya 18 unless mpira umeingia nyavuni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…