Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
Hola Amigos,
Jana nmekutana na mmasaai anatembea akiuza dawa mbalimbali kwenye kigunia, alikuwa ameshikilia kama kimenu cha dawa alizonazo na bei zake, ukikutana naye haongei sana anakupa kipeperushi tu.
Baadhi ya dawa nlizoziona kwenye menu
Mkongo puturu-10,000
Mkuyati-15,000
Dawa ya mapenzi(kutongozea)-25,000
Nk. Nk. magonjwa mengine…
Hivi hizi dawa za hawa jamaa zina ukweli wowte au ni utapeli tu mjini?
Jana nmekutana na mmasaai anatembea akiuza dawa mbalimbali kwenye kigunia, alikuwa ameshikilia kama kimenu cha dawa alizonazo na bei zake, ukikutana naye haongei sana anakupa kipeperushi tu.
Baadhi ya dawa nlizoziona kwenye menu
Mkongo puturu-10,000
Mkuyati-15,000
Dawa ya mapenzi(kutongozea)-25,000
Nk. Nk. magonjwa mengine…
Hivi hizi dawa za hawa jamaa zina ukweli wowte au ni utapeli tu mjini?