fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
HAhaha wahuni tu kuna siku nmekaa betting naskilizia mikeka yangu nko nje kaja masai anaanza kutangaza bidhaa zake ..akasema kuna dawa ya kutongozea demu yyte hachomoi unalamba sjui unatafuna nkamwambia inafanya kaz saa hii hii akanambia ndyo nkamwambia bei gan anasema 20K nkamwambia fresh nipe sample kidg nionje hapa sa hv akipta demu nimfate maana ni main road mademu kibao wanapita tumesumbuana pale mwsh wa sku akasarenda waongo tu hawa