Unaonaje ungenunua hizo dawa, as a part of your research.Hola Amigos,
Jana nmekutana na mmasaai anatembea akiuza dawa mbalimbali kwenye kigunia, alikuwa ameshikilia kama kimenu cha dawa alizonazo na bei zake, ukikutana naye haongei sana anakupa kipeperushi tu.
Baadhi ya dawa nlizoziona kwenye menu
Mkongo puturu-10,000
Mkuyati-15,000
Dawa ya mapenzi(kutongozea)-25,000
Nk. Nk. magonjwa mengine…
Hivi hizi dawa za hawa jamaa zina ukweli wowte au ni utapeli tu mjini?
Hapana mkuu, sio kama unazichezea. Research inahitaji hela, huko kununua ni part of research.Sikuwa na hela za kuchezea
HahahaKwahiyo wewe akili ya kufikiri huna? Mpaka dawa ya kutongozea serious?
watu wanapewa mpaka dawa za kupendwa na wapenzi wao. Unakuta mtu anatembea na ka mzizi akitamani mtua anakatoa alikokahifadhi anaanza kukatafunatafunaKwahiyo wewe akili ya kufikiri huna? Mpaka dawa ya kutongozea serious?
Unaonaje ungenunua hizo dawa, as a part of your research.
Then ukaja na majibu?
Hahaha
Anakuambia nna kijiti sijui jani, ukikitafuna tu kila dem ukimtongoza
Hachomoi
Ova
Wakuu,Kwahiyo wewe akili ya kufikiri huna? Mpaka dawa ya kutongozea serious?
[emoji1][emoji1]Hahaha
Anakuambia nna kijiti sijui jani, ukikitafuna tu kila dem ukimtongoza
Hachomoi
Ova
Mkuu,Dadadadeki maasai ni kabila la hovyo sana tumewapa Imani hadi wameamua kukufuru hio imani.
Wamasai ni kabila linaloenzi tamaduni zao sio inferior kama makabila mengine yanayorubunika na tamaduni za kigeni.Dadadadeki maasai ni kabila la hovyo sana tumewapa Imani hadi wameamua kukufuru hio imani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah ngoja ntanunua hyo nije niwape mrejeshoHahaha
Anakuambia nna kijiti sijui jani, ukikitafuna tu kila dem ukimtongoza
Hachomoi
Ova