Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
taabora school kichwa cha tanzaniaadah..mkandawile mzee wa pugu....unatoka mkoani kuja kupiga chemia dar!ukirudi na notes za mkandawile we ni mfalme....kweli hakuna marefu yasiyokuwa na ncha!ndani ya tabora school...bweni la sina!nikapiga banda langu na chemia na ma b mengine...bila ushauri nikajikoki muhas kujilipua na dental...hata mwaka haukuisha kama naugua vilee..kumbe ndo nahairisha!huyoo baf
Dah..Mkandawile mzee Wa PUGU....unatoka mkoani kuja kupiga Chemia Dar!ukirudi na notes za Mkandawile we ni mfalme....kweli hakuna marefu yasiyokuwa na ncha!ndani ya Tabora School...bweni la Sina!nikapiga banda langu na Chemia na ma B mengine...bila ushauri nikajikoki MUHAS kujilipua na Dental...hata mwaka haukuisha kama naugua vilee..kumbe ndo nahairisha!huyoo BAF
taabora school kichwa cha tanzaniaa
Mwaka gani umemaliza tabora,rafiki zangu kibao walisoma hapo"Jinalo we kote linatajikaa..hapa alisomeshwa Baba yetu wa Taifa,Tabora School kichwa cha Tanzaniaaa"...dah umenikumbusha mbali sana!!hapo napiga msuli wa Chemia chini ya mwembe,huku nawaza disko na Tabora Girls!au kwenda Tukutuku!
Kumbe na weye MBOIZIA...wazee wa tukutuku...aisee mie nilikua BWENI KUU Ruhinda kule juu...tulikua tunasumbuana na MZEE MADUKA kuamshana asubuhi....Dah..Mkandawile mzee Wa PUGU....unatoka mkoani kuja kupiga Chemia Dar!ukirudi na notes za Mkandawile we ni mfalme....kweli hakuna marefu yasiyokuwa na ncha!ndani ya Tabora School...bweni la Sina!nikapiga banda langu na Chemia na ma B mengine...bila ushauri nikajikoki MUHAS kujilipua na Dental...hata mwaka haukuisha kama naugua vilee..kumbe ndo nahairisha!huyoo BAF
Hivi Bado wanafundisha ?
Mwaka gani umemaliza tabora,rafiki zangu kibao walisoma hapo
Hivi Bado wanafundisha ?
Kumbe na weye MBOIZIA...wazee wa tukutuku...aisee mie nilikua BWENI KUU Ruhinda kule juu...tulikua tunasumbuana na MZEE MADUKA kuamshana asubuhi....
-----------------------------------------------------------------------------------------------
BACK TO TOPIC
Mkandawile long time sana sijamsikia sijui uzee unamtesa au ndio tena vijana wameshamzidi.....
2003..kina nani?