Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngalawa yupi?
Kama ni Shabani Ngalawa nasikia alifariki.
2003 mtoto mdogo wewe.
Matusi hayo!1997 ndo nimekanyaga Tabora School!me homeboy!miaka yote nimemalizia hapo!kashfa sana kuniita mtoto
Wa oysterbay
huyo sijamsikia tena, sijui anaendeleaje.
mkanda boy,mzee wa suti,tulikuwa tunajazana pale mtendeni,sijui yupo wapi aisee huyu alistahili tuzo aisee
Umesema umemaliza 2003 na unazungumzia disco Tabora girls mlikuwa mshapatana nao? maana mimi nilitoka 2001 kulikuwa na ugomvi wa kufa mtu."Jinalo we kote linatajikaa..hapa alisomeshwa Baba yetu wa Taifa,Tabora School kichwa cha Tanzaniaaa"...dah umenikumbusha mbali sana!!hapo napiga msuli wa Chemia chini ya mwembe,huku nawaza disko na Tabora Girls!au kwenda Tukutuku!
Umesema umemaliza 2003 na unazungumzia disco Tabora girls mlikuwa mshapatana nao? maana mimi nilitoka 2001 kulikuwa na ugomvi wa kufa mtu.
Kwani mbona kunawatu hawakupiga kwake wakatoka poa!
Dah! Umenikumbusha huyu Mkandawile, alikuwa anatufundisha tuition ya Chemistry Mtendeni mwaka 2001 mpaka 2002.. Darasa lilikuwa linajaa mpaka tunashindwa kupumua.. Saa ya kuingia class tulikuwa tunagombania utadhani wakazi wa Mbagala wanavyogombania daladala. Hahahaaa..Mkanda boy! Yaani hata mi sijui kwa sasa yuko wapi, umenikumbusha mbaali sana.
shijja was a great teacher and a guardian, mkandawire bahati mbaya hakunifundisha maana tulipishana only one year
lakini nadhani pamoja na akili kichwani, alikosa maarifa, angekua mbali sana
ndosi kumbukumbu zangu zinasema he was abusive to children pale muhi2, na ngalawa lazma alikua anafundisha zule za uzunguni
kwa wale wa Tambaza, SAVIMBI yuko wapi?
Hivi yule muchant or merchant wala hata jina lake tabu .hivi alikuwa ni mwalimu au ujinga ulimjaashijja was a great teacher and a guardian, mkandawire bahati mbaya hakunifundisha maana tulipishana only one year
lakini nadhani pamoja na akili kichwani, alikosa maarifa, angekua mbali sana
ndosi kumbukumbu zangu zinasema he was abusive to children pale muhi2, na ngalawa lazma alikua anafundisha zule za uzunguni
kwa wale wa Tambaza, SAVIMBI yuko wapi?