Hivi Hawa walimu wapo wapi? Mkandawile, Mama Shija, Ndosi, Ngalawa..

Hivi Hawa walimu wapo wapi? Mkandawile, Mama Shija, Ndosi, Ngalawa..

Sasa hilo ndiyo swali gani?

Wewe unajua watu kama hawa watakuwa wamezeeka na wameshastaafu long time.

Halafu usijifanye ulikuwa bundi fulani enzi za Form Four hadi ujue majina ya hawa Walimu na hata kutaja somo la Chemistry.

Kudaadeki!
Kwa taarifa yako Natalia ni mmoja wa wanawake wachache wa kwanza ilivyoanzishwa Tambaza high school kwa wanawake.Hunijui huyo Mkandawile nimesoma tuition kwake na mama shija jangwani na primary Ndosi .pole sana kwa hasira ulizonazo .
 
Sasa hilo ndiyo swali gani?

Wewe unajua watu kama hawa watakuwa wamezeeka na wameshastaafu long time.

Halafu usijifanye ulikuwa bundi fulani enzi za Form Four hadi ujue majina ya hawa Walimu na hata kutaja somo la Chemistry.

Kudaadeki!

Nakuombeaje.life is too short kuwa na hasira Za watu usiowajua .Relax Kama mtu kakuuzi usilete hasira humu .Smile god have something restored for you .pole sana
 
Kwa taarifa yako Natalia ni mmoja wa wanawake wachache wa kwanza ilivyoanzishwa Tambaza high school kwa wanawake.Hunijui huyo Mkandawile nimesoma tuition kwake na mama shija jangwani na primary Ndosi .pole sana kwa hasira ulizonazo .
Hapo Tambaza high school hakuna walimu .Na watu tukafaulu vilevile .chezea jeshi la watoto wa Tambaza wewe.
 
Dah, kweli sie wengine Jioni imefika enzi zetu za Mwl Nyerere ( 1981-1987 Tabora boys hapakuwa na Tuition kwanza mzazi atapata wapi hiyo pesa!

Hahahaaaaa......!!
 
Sasa hilo ndiyo swali gani?

Wewe unajua watu kama hawa watakuwa wamezeeka na wameshastaafu long time.

Halafu usijifanye ulikuwa bundi fulani enzi za Form Four hadi ujue majina ya hawa Walimu na hata kutaja somo la Chemistry.

Kudaadeki!

Mmmmh..!!
 
Nakuombeaje.life is too short kuwa na hasira Za watu usiowajua .Relax Kama mtu kakuuzi usilete hasira humu .Smile god have something restored for you .pole sana

Hamna lolote.

As amply demonstrated elsewhere humu jukwaani, ni wazi kabisa, tena beyond any reasonable doubt, kwamba your intellectual merits are far less than mediocre, na uwezo wa kuingia Form 5 na hatimaye Form 6 Tambaza High School enzi hizo (kama ni kweli) ulkuwa hauna. Period!

Labda ulifika pale sababu ya manuva binafsi za ndugu zako Serikalini.
 
Hamna lolote.

As amply demonstrated elsewhere humu jukwaani, ni wazi kabisa, tena beyond any reasonable doubt, kwamba your intellectual merits are far less than mediocre, na uwezo wa kuingia Form 5 and 6 Tambaza High School enzi hizo ulkuwa hauna!

Labda ulifika pale sababu ya manuva binafsi za ndugu zako Serikalini.
Sinishani na watu wasio na amani .
 
Hamna lolote.

As amply demonstrated elsewhere humu jukwaani, ni wazi kabisa, tena beyond any reasonable doubt, kwamba your intellectual merits are far less than mediocre, na uwezo wa kuingia Form 5 na hatimaye Form 6 Tambaza High School enzi hizo (kama ni kweli) ulkuwa hauna. Period!

Labda ulifika pale sababu ya manuva binafsi za ndugu zako Serikalini.
Pole kwa wivu
 
Pole kwa wivu

Pole ujipe mwenyewe mkuu!

Sababu unafikiri you can fool everybody, all the time, ilhali track record ya kauli zako humu jukwaani inakuumbua.

FYI, you're the last person i'd expect to know anything about the very basic principles of Chemistry
even at Form Two Level: leave alone your pretensions of having studied advanced-level science subjects (like Chemistry) at Tambaza High School.
 
Pole ujipe mwenyewe mkuu!

Sababu unafikiri you can fool everybody, all the time, ilhali track record ya kauli zako humu jukwaani inakuumbua.
Sasa unatoka na povu la nini .mimi niliosoma Tambaza sio ni Kama big deal .wabongo kwa ugomvi Mimi ndio maana sinaga time na wabongo .hamuwezi kuwa happy .Pole sana .
 
Jamani wotee goodnight.Nitamtafuta Mkandawile Huko mwanza nitampata.Enjoy Super bowl weekend .Raven I wish washinde .
 
Sasa unatoka na povu la nini .mimi niliosoma Tambaza sio ni Kama big deal .wabongo kwa ugomvi Mimi ndio maana sinaga time na wabongo .hamuwezi kuwa happy .Pole sana .

Ok, Wewe ndiyo wale mliopewa nafasi kutokana na ufisadi wa wazazi wenu Serikalini.

Lakini ni wazi ulikuwa ukishika mkia tuu enzi zako Tambaza High School ukiwa kama kenge anayefuata msafara wa mamba.

Kudaadeki!
 
Thank you sir
Hey, not so fast bi.tch!

That's assuming that you did indeed attend and successfully complete classes at Form 5 and 6 levels at Tambaza High School, which, given your less than mediocre reputation in here, I doubt if you even possess an equivalent US GED level qualification.

To be be honest, your level of education is more at par with grade 3 US to me, leave alone Form Four or even Six TZ!
 
Kwa taarifa yako Natalia ni mmoja wa wanawake wachache wa kwanza ilivyoanzishwa Tambaza high school kwa wanawake.Hunijui huyo Mkandawile nimesoma tuition kwake na mama shija jangwani na primary Ndosi .pole sana kwa hasira ulizonazo .

Natalia, basi ulikuja baada ya akina sie kuondoka, nakumbuka mama shija alikua tambaza na akina hawanga, na siku hizo mademu walikua A- level tu, na walikua wazuri kweli akina Idda, Masha, we acha tu

Sie tulikua wazee wa Tanganyika Library na mihogo ya kuchoma pale mbele ya maktaba
 
Wengine tulikuwa magenius tu by nature. Sijawahi kusoma tuition! And i am proud of me.
Dah, kweli sie wengine Jioni imefika enzi zetu za Mwl Nyerere ( 1981-1987 Tabora boys hapakuwa na Tuition kwanza mzazi atapata wapi hiyo pesa!
 
Sasa kamanda, mademu as you put it, walikuwa wazuri ama macho yako yalikuwa hayajawazoea?
(tomorrow i will shoot somebody on the head and i dont want an alibi!)
Natalia, basi ulikuja baada ya akina sie kuondoka, nakumbuka mama shija alikua tambaza na akina hawanga, na siku hizo mademu walikua A- level tu, na walikua wazuri kweli akina Idda, Masha, we acha tu

Sie tulikua wazee wa Tanganyika Library na mihogo ya kuchoma pale mbele ya maktaba
 
Back
Top Bottom