Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Halafu mabwabwaKizazi cha chips mayai na hayo mambo wapi na wapi??
Mabuansa wenyew tunakutana Kwenye kiepe kila siku[emoji1787]
Maendeleo, huoni kule WWE wanavyopindua magari kwa hasira?
Wakipewa buku Saba zao, wanahonga 6200 wanabakiwa na 800Kazi kuwapata.Vijana wanakula maandazi mawili kwa chilisosi kama lunch.
Hiyo chenji wananunua energy drink na ubuyu.😂😂😂Wakipewa buku Saba zao, wanahonga 6200 wanabakiwa na 800
☹☹nyumban watoto wanashindia viaz mbatataWakipewa buku Saba zao, wanahonga 6200 wanabakiwa na 800
Na migagi☹☹nyumban watoto wanashindia viaz mbatata
😂😂😂😂 mungu awasaidie kwakwelNa migagi
Hapo nimwendo wa kuupiga utumbo msasa.Hiyo chenji wananunua energy drink na ubuyu.😂😂😂