Du basi wapo njema kweli wanamapenzi memahawalipwi ni mapenzi tu kwa hivyo vipindi
Km huyu migebuka dah ni hatariBasi tu ndugu zao wawasifie wametanjwa kwenye radio.
Hata mm najiulizaga maana hawana kazi ya kufanya?Nahisi hawatumagi sms wanawarusha tu
Kuna mwingine anajiita mapambano abel, ukisikiliza radio1 kila kipindi lazima apige simu. Na anakuwa wa kwanza.Hata mm najiulizaga maana hawana kazi ya kufanya?
Filbert kyauke wa mlandiziKuna kipindi nilikuwa nikisikiliza radio hukosi simu au message za hawa watu katika kipindi chochote;
1. Mwalimu Kennedy mpemba kutoka Kahama hasa kwenye DW
2. Hamisi full migebuko kutoka kigoma
3. Daudi wa kota
4. Salma Msangi kutoka Dodoma
5. Kuna mwingine Filbert japo jina la mwisho nimesahau hutuma sana DW
Zakaria ndemfoo nilikua namsikia sana redio sauti ya injiliFilbert kyauke wa mlandizi
Zakaria ndemfoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yap ndio huyu huyu🤣🤣Filbert kyauke wa mlandizi
Zakaria ndemfoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mi nikajua wanapewaga vocha😁Wapi Riziki Minde wa kwata unit Kariakoo.
Huyo Daudi wa Kota naye yupo sana.
Huyu naye nilimsahau toka nikiwa mdogo namsikiagaMzee Lawena Nsonda RFA