Hivi hawa watu wanalipwa na hizi redio?

Hivi hawa watu wanalipwa na hizi redio?

Padre Moshi wa Kotela Mamba Kilimanjaro anasema , Enyi Ukraine na Urusi kaeni muyamalize kwani wanaoumia ni raia wasio na hatia.

Ali Mrangi Gigiri wa Kondoa Dodoma kwa sasa nipo safarini Manyara ,


Wajadi fundi wa jadi binadamu Mashaka na mke wake..

Ukitaka kufurahia haya majina lazima mtangazaji awe Tatu Karema au Zainabu Rajabu na Umil Kheir kutoka Bönn
Ni Zainab Aziz, si Rajabu. Huyo mwingine kwa usahihi jina lake ni Oumilkheir Hamidou. Alishastaafu baada ya kutangaza DW kwa takribani miaka 42!
 
Back
Top Bottom