- Thread starter
- #161
Lawena mpaka miaka ya hivi karibuni kwenye papasowalikuwepo akina mzee lawena msonda, pamoja na top manyota
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lawena mpaka miaka ya hivi karibuni kwenye papasowalikuwepo akina mzee lawena msonda, pamoja na top manyota
Filbert kenshambi.Kuna kipindi nilikuwa nikisikiliza radio hukosi simu au message za hawa watu katika kipindi chochote;
1. Mwalimu Kennedy mpemba kutoka Kahama hasa kwenye DW
2. Hamisi full migebuko kutoka kigoma
3. Daudi wa kota
4. Salma Msangi kutoka Dodoma
5. Kuna mwingine Filbert japo jina la mwisho nimesahau hutuma sana DW
Hamna inshu kama hio Sema ni utaratibu au desturi mtu amejiwekea kuwa anasikiliza vipindi hivo yanakuwa ndio maisha yake ya KILA sikuKuna kipindi nilikuwa nikisikiliza radio hukosi simu au message za hawa watu katika kipindi chochote;
1. Mwalimu Kennedy mpemba kutoka Kahama hasa kwenye DW
2. Hamisi full migebuko kutoka kigoma
3. Daudi wa kota
4. Salma Msangi kutoka Dodoma
5. Kuna mwingine Filbert japo jina la mwisho nimesahau hutuma sana DW
Huu ndio ukweli.Maisha ya wabongo ni connection hadi redioni. Hao asilimia kubwa wanafahamiana na hao Watangazaji, hivyo inakuwa rahisi sms au calls zao kuonwa. Tena unakuta wanatumiana sms kwenye private namba hivyo inakuwa rahis kwa mtangazaji kuziona.
Jiulize, inakuwaje sms au calls zao tu ndio zinaonekana kila siku wakati wanaopiga na kutuma sms ni wengi!
Naam, Wajadi fundi Wajadi... umesomeka... tuma salamu kwa raia watano humu...Maisha ya wabongo ni connection hadi redioni. Hao asilimia kubwa wanafahamiana na hao Watangazaji, hivyo inakuwa rahisi sms au calls zao kuonwa. Tena unakuta wanatumiana sms kwenye private namba hivyo inakuwa rahis kwa mtangazaji kuziona.
Jiulize, inakuwaje sms au calls zao tu ndio zinaonekana kila siku wakati wanaopiga na kutuma sms ni wengi!
Filbert KiyaukeKuna kipindi nilikuwa nikisikiliza radio hukosi simu au message za hawa watu katika kipindi chochote;
1. Mwalimu Kennedy mpemba kutoka Kahama hasa kwenye DW
2. Hamisi full migebuko kutoka kigoma
3. Daudi wa kota
4. Salma Msangi kutoka Dodoma
5. Kuna mwingine Filbert japo jina la mwisho nimesahau hutuma sana DW
Mzee David urassaFilbert kyauke wa mlandizi
Zakaria ndemfoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Christina mathayo shooFilbert kyauke wa mlandizi
Zakaria ndemfoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alivuma pia TBC na radio MariaHuyu naye nilimsahau toka nikiwa mdogo namsikiaga
Daladala ya ma zombie 🤣🤣Halaf kuna Ali mrangi gigiri huyu nae kila siku yupo kwenye daladala akielekea mabibo cjui hafikagi?
[emoji1787][emoji1787]Daladala ya ma zombie [emoji1787][emoji1787]
Halafu kuna yule........ee babaaWa kitambo pale Rfa anaitwa CHACHA MWILI OBAREEE
Kama wewe unavyokula mahindi ya kuchoma na ndimu na wao ndio furaha Yao kupiga simu redioni.Kuna kipindi nilikuwa nikisikiliza radio hukosi simu au message za hawa watu katika kipindi chochote;
1. Mwalimu Kennedy mpemba kutoka Kahama hasa kwenye DW
2. Hamisi full migebuko kutoka kigoma
3. Daudi wa kota
4. Salma Msangi kutoka Dodoma
5. Kuna mwingine Filbert japo jina la mwisho nimesahau hutuma sana DW