Hivi hawa watu wanalipwa na hizi redio?

Hivi hawa watu wanalipwa na hizi redio?

Kuna kipindi nilikuwa nikisikiliza radio hukosi simu au message za hawa watu katika kipindi chochote;

1. Mwalimu Kennedy mpemba kutoka Kahama hasa kwenye DW
2. Hamisi full migebuko kutoka kigoma
3. Daudi wa kota
4. Salma Msangi kutoka Dodoma
5. Kuna mwingine Filbert japo jina la mwisho nimesahau hutuma sana DW
Filbert kenshambi.
Josefu bundala.
Kashinje mjomba wa watu baadhi.
Simoni shauri baba ombeni.
Hawa watu kila nikisikiliza dw wanatuma sana ujumbe na ni kitambo sana
 
H
Kuna kipindi nilikuwa nikisikiliza radio hukosi simu au message za hawa watu katika kipindi chochote;

1. Mwalimu Kennedy mpemba kutoka Kahama hasa kwenye DW
2. Hamisi full migebuko kutoka kigoma
3. Daudi wa kota
4. Salma Msangi kutoka Dodoma
5. Kuna mwingine Filbert japo jina la mwisho nimesahau hutuma sana DW
Hamna inshu kama hio Sema ni utaratibu au desturi mtu amejiwekea kuwa anasikiliza vipindi hivo yanakuwa ndio maisha yake ya KILA siku
 
Maisha ya wabongo ni connection hadi redioni. Hao asilimia kubwa wanafahamiana na hao Watangazaji, hivyo inakuwa rahisi sms au calls zao kuonwa. Tena unakuta wanatumiana sms kwenye private namba hivyo inakuwa rahis kwa mtangazaji kuziona.

Jiulize, inakuwaje sms au calls zao tu ndio zinaonekana kila siku wakati wanaopiga na kutuma sms ni wengi!
Huu ndio ukweli.
Kuna siku redio moja nasikiliza kipindi cha salamu mtangazaji akataka kujisahau akamwaga kodi kidogo nilimuelewa na ilikuwa hivyo maana alisoma sms mtu analalamika kila siku hawasomi jumbe zake.
 
Maisha ya wabongo ni connection hadi redioni. Hao asilimia kubwa wanafahamiana na hao Watangazaji, hivyo inakuwa rahisi sms au calls zao kuonwa. Tena unakuta wanatumiana sms kwenye private namba hivyo inakuwa rahis kwa mtangazaji kuziona.

Jiulize, inakuwaje sms au calls zao tu ndio zinaonekana kila siku wakati wanaopiga na kutuma sms ni wengi!
Naam, Wajadi fundi Wajadi... umesomeka... tuma salamu kwa raia watano humu...
 
Kuna kipindi nilikuwa nikisikiliza radio hukosi simu au message za hawa watu katika kipindi chochote;

1. Mwalimu Kennedy mpemba kutoka Kahama hasa kwenye DW
2. Hamisi full migebuko kutoka kigoma
3. Daudi wa kota
4. Salma Msangi kutoka Dodoma
5. Kuna mwingine Filbert japo jina la mwisho nimesahau hutuma sana DW
Filbert Kiyauke
 
1. Zakaria Ndemfoo
2. Papaa Mutalika na Tunduma
3. Sanifu Lazaro Tingisha
4. Chesco mzee wa Matunda
5. Lawena Nsonda
6. Tamtam Salam club Arusha
 
Mchina wa mtwivila
Na kuna mwamba wa makongorosi chunya
 
Kuna kipindi nilikuwa nikisikiliza radio hukosi simu au message za hawa watu katika kipindi chochote;

1. Mwalimu Kennedy mpemba kutoka Kahama hasa kwenye DW
2. Hamisi full migebuko kutoka kigoma
3. Daudi wa kota
4. Salma Msangi kutoka Dodoma
5. Kuna mwingine Filbert japo jina la mwisho nimesahau hutuma sana DW
Kama wewe unavyokula mahindi ya kuchoma na ndimu na wao ndio furaha Yao kupiga simu redioni.
 
Kuna jamaa aliwika Sana miaka ya nyuma RFA aliitwa Muhiri Obhare. Sijui yupo wapi siku hizi.
 
Back
Top Bottom