Unavoidable Servant
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,728
- 4,545
Mzee Mwamakula ameshafariki.Huyo mzee ni polisi mstaafu [emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee Mwamakula ameshafariki.Huyo mzee ni polisi mstaafu [emoji28][emoji28]
Ni kama wale mashabiki wa Simba au yanga hawakosi kwenda uwanjani timu Yao ikicheza tu akina jimmy kindoki, na yule mwamba wa nywenye za rangi jina nimelisahauKuna kipindi nilikuwa nikisikiliza radio hukosi simu au message za hawa watu katika kipindi chochote;
1. Mwalimu Kennedy mpemba kutoka Kahama hasa kwenye DW
2. Hamisi full migebuko kutoka kigoma
3. Daudi wa kota
4. Salma Msangi kutoka Dodoma
5. Kuna mwingine Filbert japo jina la mwisho nimesahau hutuma sana DW
Oooh RIP mzee wetu! Sikuwa na taarifa hii..Mzee Mwamakula ameshafariki.
Kwani wewe kuingia hapa JF unalipwa shilingi ngapi? Na je, hauna kazi za kufanya?Hata mm najiulizaga maana hawana kazi ya kufanya?
Dah kwakwi orodha haiwezi kukamilika bila Wajadi fundi wajadiLawena Sonda Mzee wa Makongorosi Chunya a.k.a baba mzazi eeeh baba, Top Manyota kutoka Tunduma Boda ya wajanja, Wajadi fundi Wajadi, Leah Mamvi,
Hahahaha, tz inawatuAwowo Apewe - TBC fm na djaro Arungu
Wa sumbawanga[emoji23]Kuna ustadhi sabasaba [emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Halaf kuna Ali mrangi gigiri huyu nae kila siku yupo kwenye daladala akielekea mabibo cjui hafikagi?
Kuna King Majuto wa DWKuna kipindi nilikuwa nikisikiliza radio hukosi simu au message za hawa watu katika kipindi chochote;
1. Mwalimu Kennedy mpemba kutoka Kahama hasa kwenye DW
2. Hamisi full migebuko kutoka kigoma
3. Daudi wa kota
4. Salma Msangi kutoka Dodoma
5. Kuna mwingine Filbert japo jina la mwisho nimesahau hutuma sana DW
Ujue madalali wanakaa vituoni tu ila maisha yanaendaHata mm najiulizaga maana hawana kazi ya kufanya?
Ndemfoo alishakufaFilbert kyauke wa mlandizi
Zakaria ndemfoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]