Hivi hawa watu wanalipwa na hizi redio?

Hivi hawa watu wanalipwa na hizi redio?

Lawena naonda
Mwl kened mpemba
Hamis full migebuka
Nimekua nikiwasikia Toka nipo janki kitambo sana
 
Kuna kipindi nilikuwa nikisikiliza radio hukosi simu au message za hawa watu katika kipindi chochote;

1. Mwalimu Kennedy mpemba kutoka Kahama hasa kwenye DW
2. Hamisi full migebuko kutoka kigoma
3. Daudi wa kota
4. Salma Msangi kutoka Dodoma
5. Kuna mwingine Filbert japo jina la mwisho nimesahau hutuma sana DW
Ni kama wale mashabiki wa Simba au yanga hawakosi kwenda uwanjani timu Yao ikicheza tu akina jimmy kindoki, na yule mwamba wa nywenye za rangi jina nimelisahau
 
Kuna hiyo wa zamani kule RTD Wajadi Fundi Wajadi toka shimoni Mtwara
 
Wengine nikajua washapata kazi clouds mana kila siku unasikia majina yao.
 
Kuna kipindi nilikuwa nikisikiliza radio hukosi simu au message za hawa watu katika kipindi chochote;

1. Mwalimu Kennedy mpemba kutoka Kahama hasa kwenye DW
2. Hamisi full migebuko kutoka kigoma
3. Daudi wa kota
4. Salma Msangi kutoka Dodoma
5. Kuna mwingine Filbert japo jina la mwisho nimesahau hutuma sana DW
Kuna King Majuto wa DW
 
Back
Top Bottom