Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Dah[emoji23][emoji23]Na kuna wale jamaa wa malumbano ya hoja wanaojirudia kila siku ITV. Nao wachunguzwe
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah[emoji23][emoji23]Na kuna wale jamaa wa malumbano ya hoja wanaojirudia kila siku ITV. Nao wachunguzwe
Wa makongorosi chunya...huyu alitisha😂😂😂Mzee Lawena Nsonda RFA
Riziki Minde wa kariakooChesco mzee wamatunda
aisee ,hawa wa kutuma sms sishangai sana mana ni rahisi ukiwa unajua ratiba za vipindi kwenye radio tofauti tifauti kazi yako ikawa ni kutuma tuh na wala husikilizi ivyo vipindi😂😂😂🤣🤣anamfundisha namna ya kuwahi nafasi kwenye media
😂😂 Labda ni dereva wa daladalaHalaf kuna Ali mrangi gigiri huyu nae kila siku yupo kwenye daladala akielekea mabibo cjui hafikagi?
Mm nawasiwasi wanakagroup kawasap watuma kwenye group wamewaadd watangazaji wanawasoma tuaisee ,hawa wa kutuma sms sishangai sana mana ni rahisi ukiwa unajua ratiba za vipindi kwenye radio tofauti tifauti kazi yako ikawa ni kutuma tuh na wala husikilizi ivyo vipindi
Ndio kila siku asubuhi mchana na jioni mwaka wa 4 huu Namsikiaga ivo ivo 😁😁😂😂 Labda ni dereva wa daladala
Huyu nae niliwai msikia[emoji117]...Wajadi Fundi Wajadi "Binadamu Mashaka"
Kaka hizi media za bongo nazozijua Mimi au kuna zingine😁😁😁Watu wanapayroll kukaa pale kila wiki😁😁 system ile
😁😁😁😁 🙌🏾🙌🏾🙌🏾Mzee wa mashairi, bi shangazi, mwalimu wa sunday school, hao ni vigumu kuwakosa kwenye hoja za kijamii
Huwa nakiuliza Ina maana muda wote anasikiliza radio au!Ndio kila siku asubuhi mchana na jioni mwaka wa 4 huu Namsikiaga ivo ivo 😁😁
Txt yake km kaisave sehemu huwaga anacopy na kupasta
Yap hizi hizi media uchwaraKaka hizi media za bongo nazozijua Mimi au kuna zingine😁😁😁
Mtangazaji : haloo kwenye line, nani mwenzangu?Manka mushi
Jumanne sebarua tingisha
Muhiri obare (naaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam