mlima wa mizeituni
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,387
- 2,444
Clouds ongezea umi kitwana, full migebuka, daudi wa kota..Captain Chengachenga wa MV Magogoni
Doctor Albino
Hamis Malonji
Male Platnumz
Wanatajwa sana Clouds FM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Clouds ongezea umi kitwana, full migebuka, daudi wa kota..Captain Chengachenga wa MV Magogoni
Doctor Albino
Hamis Malonji
Male Platnumz
Wanatajwa sana Clouds FM.
Mawazo mafupiBasi tu ndugu zao wawasifie wametajwa kwenye radio.
Clouds utaratibu wao ulikuwa mzuri sana!aisee ,hawa wa kutuma sms sishangai sana mana ni rahisi ukiwa unajua ratiba za vipindi kwenye radio tofauti tifauti kazi yako ikawa ni kutuma tuh na wala husikilizi ivyo vipindi
Huyo mzee ni polisi mstaafu [emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] [emoji1487][emoji1487][emoji1487]
Hawakosekani , kuna mzee mmoja ana pengo na jamaa ana lafudhi ya kihaya.. Huwa wanajadili kwa jazba [emoji16]
Filbert KyaukeKuna kipindi nilikuwa nikisikiliza radio hukosi simu au message za hawa watu katika kipindi chochote;
1. Mwalimu Kennedy mpemba kutoka Kahama hasa kwenye DW
2. Hamisi full migebuko kutoka kigoma
3. Daudi wa kota
4. Salma Msangi kutoka Dodoma
5. Kuna mwingine Filbert japo jina la mwisho nimesahau hutuma sana DW
Usikute ni robot hilo.Ni Kama Mshana Jr humu jf Kila Uzi Kila muda yumo
upo vyedi mdauClouds ongezea umi kitwana, full migebuka, daudi wa kota..
Kuwa na Kazi ya kufanya tuna-overrate sana hili suala naweza sikiza redio 24 hours na Kazi nikafanyaHata mm najiulizaga maana hawana kazi ya kufanya?
Kazi ipi ya kufanya na kutuma txt radioni kila muda labda ulinziKuwa na Kazi ya kufanya tuna-overrate sana hili suala naweza sikiza redio 24 hours na Kazi nikafanya
Yule alikuwa na payrollNi mapenzi tu kama kule Twitter kipinde cha awamu iliyopita alikuwepo Kigogo2014,
Mm huyu filbert Jonathan wa DW ...toka nikiwa primaryLawena Nsonda,toka mimi mdogo,nasasa naelekea 40,yupo tu,sijui ana umri gani kama siyo 60s huko,sijui.
Wanaweza kuwa wavuvi labda ndio maana hawalaliBila kumtaja Mwita Maranya RFA hii thread itakuwa haijakamilika.
Washamba wa kanda ya ziwa wanawekewa kipindi SAA 8 za usiku hakuna kulala na kweli mikulima inakesha redioni kutuma salaam.
Kesho ukiamka saa 4 tembea na mguu kilometre kama 7 huku akiangalia watu walio kazini madukani nk nakuhakikishia 90% utawaona wanachezea simu na wakk jobKazi ipi ya kufanya na kutuma txt radioni kila muda labda ulinzi