storyteller
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 1,511
- 1,844
View attachment 1061349
View attachment 1061349
Aisee hili dude nakumbuka mdogo wangu wa kike alikuwaga nalo na muda wote alikuwa analicheza muda wote yani. Lilikuwa linanikera na makelele yake, unakuta umelala usiku au unatafuta usingizi unasikia chumba cha pili, byu, byu, pyu. Kuna mhuni akapita nalo akaenda kuuza kwe wenzake huko shuleni, nilifurahi sana.
Hamjapishana sana lakini ni mkubwa kwako, yeye yuko mid 30's.Ana umri gani? I'll turn 31 in May.
Sent using my Nokia Torch
Na wewe umeyacheza haya ?Daah...!
Duuh, aisee ni ya muda mrefu sana haya mkuu. Yaani muda sana.Hayo yapo boss juzikati nilienda dar kuona familia kijana wangu wa darasa 4 nilimuona analitumia hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe uliyayumia enzi zako??Duuh, aisee ni ya muda mrefu sana haya mkuu. Yaani muda sana.
Hapana mkuu, mdogo wangu wa kike alikuwa nalo, leo tumeongea kanikumbushia nilivyokuwa nampa konzi kipindi hicho hataki kusoma.Na wewe uliyayumia enzi zako??
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Hapana mkuu, mdogo wangu wa kike alikuwa nalo, leo tumeongea kanikumbushia nilivyokuwa nampa konzi kipindi hicho hataki kusoma.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2],,bro la kwako umelipeleka wapi siku hz?lile jeusiBado yapo mkuu ningendako analo lake
Hahahaha,....[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2],,bro la kwako umelipeleka wapi siku hz?lile jeusi
Tunakoment hapahapa mwaya ....plus rede kombolela na madangeTuliokulia tunacheza hivi tunakomenti wapi?View attachment 1061362
Haya yakiwatawala watoto wako matokeo yake wanakuwa kama mazezeta.View attachment 1061349
View attachment 1061349
Aisee hili dude nakumbuka mdogo wangu wa kike alikuwaga nalo na muda wote alikuwa analicheza muda wote yani. Lilikuwa linanikera na makelele yake, unakuta umelala usiku au unatafuta usingizi unasikia chumba cha pili, byu, byu, pyu. Kuna mhuni akapita nalo akaenda kuuza kwe wenzake huko shuleni, nilifurahi sana.
NaaamHaya yakiwatawala watoto wako matokeo yake wanakuwa kama mazezeta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Secondary [emoji16][emoji16]ulchelewa mkuu..ilo la primary, seco unanaza na gameboy,gameboy advance na sp,unasogea sega pale by unaanza advance unajua atleast ps 2,sikuhizi ps 4Juzi kuna madogo wa shule ya msingi niliwaona nalo, wamekaa kwenye kikundi wanalicheza...
Kipindi nikiwa secondary nikiwa hom sina mishe najifungia ndani nalipiga kimya kimya...