HIVI HAYA MADUDE BADO YAPO ??

HIVI HAYA MADUDE BADO YAPO ??

Kipindi hiki hili dude limenikuta mkubwa kidogo, nilikuwa napambana na mambo ya masomo bwana. Japo Game nimecheza sana ila siyo hili Brick Game na msauti wake mbayaa.
Ile sauti ya bwii bwii bwii ngaa ngaa
Ukiachana na izo lazima utakuwa umecheza mortal kombat na vice city (GTA)
 
View attachment 1061349

View attachment 1061349

Aisee hili dude nakumbuka mdogo wangu wa kike alikuwaga nalo na muda wote alikuwa analicheza muda wote yani. Lilikuwa linanikera na makelele yake, unakuta umelala usiku au unatafuta usingizi unasikia chumba cha pili, byu, byu, pyu. Kuna mhuni akapita nalo akaenda kuuza kwe wenzake huko shuleni, nilifurahi sana.
Hahaha yapo ila sio mengi kama zamani, ukiingia playstore wametengeneza app zake kuna siku nilizijaribu kuchezea - duh! kitambo sana
 
Back
Top Bottom