Hivi haya mambo ni kweli? Hadi naogopa jamani

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
1: Kwa kila watu 200 unaokutana nao mtaani kwenu basi wa 2 ni mizuka (ghost).

2: Usiipende kujiangalia kwenye kioo Mida ya usiku wa manane kuanzia saa 9 hadi saa 11, sababu mida hiyo taswira unayoiona kwenye kioo kawaida huwa sio halisia.

3: Mizuka huwa wanapenda kicheko cha binadamu kadri unavyocheka zaidi ndivyo unavyozidi kuwavutia zaidi.

4: Ukihisi mtu alikuwa amekaa kwenye kitanda chako basi tambua haupo pekeako.

5: Ukiwa unatembea na ukahisi kuna mtu nyuma yako basi huo ni mzimu unakuangalia. Binadamu wana uwezo wa kuhisi uwepo wa mizuka.

6: Ukiwa usingizini ukaota ndoto umeuona mzuka basi jua kuna mzuka umekukazia macho unakutazama.

7: Mda mwingine ukipiga miayo basi tambua kuna mzuka unajaribu kukuwekea kitu mdomoni.
 

Attachments

  • 1738446771076.jpg
    270.7 KB · Views: 6
Kuna boya mmoja hapa JF anaitwa Rakims alisema ukichukua kitana na apple ukawa unatafuna lile apple huku unachana nywele na kujitazama kwenye kioo usiku wa manane utaona sura ya mwanamke utakayekuja kumuoa. Wiki nzima nilifakamia ma-apple lakini sikuona kitu. Nilichoambulia ni utamu wa apple tu.
 
Ni uwoga tu, hakuna chochote
Kiwanja kipi mku
Dadekii
 
Fear of unknown
 
Acha bange wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…