Hivi HESLB waliongeza mikopo kimya kimya kwa baadhi ya wanafunzi?

Hivi HESLB waliongeza mikopo kimya kimya kwa baadhi ya wanafunzi?

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Wakuu, kwema?

Hii kitu sijaielewa naomba kueleweshwa, nimepita kwenye account ya dogo ya HESLB nimekuta kuna Additional loan ya kama laki 4 kwenye upande wa tuition fees,nimemuuliza dogo nae anaonekana kushangaa tu hajui chochote.

Naomba kuuliza hawa first year waliongezewa mkopo kimya kimya au ni nini hiki?
Screenshot_20230205-081256_Chrome.jpg
 
Wakuu,kwema?
Hii kitu sijaielewa naomba kueleweshwa,nimepita kwenye account ya dogo ya heslb nimekuta kuna Additional loan ya kama laki 4 kwenye upande wa tuition fees,nimemuuliza dogo nae anaonekana kushangaa tu hajui chochote.
Naomba kuuliza hawa first year waliongezewa mkopo kimya kimya au ni nini hiki?
Nadhani hivyo pia sio kwa first year tu kuna hadi mwaka wa tatu ambao hawakua na allocation ya tuition fees ila sasa wana allocation full👍🏾👍🏾
 
Wakuu,kwema?
Hii kitu sijaielewa naomba kueleweshwa,nimepita kwenye account ya dogo ya heslb nimekuta kuna Additional loan ya kama laki 4 kwenye upande wa tuition fees,nimemuuliza dogo nae anaonekana kushangaa tu hajui chochote.
Naomba kuuliza hawa first year waliongezewa mkopo kimya kimya au ni nini hiki?
Yes waliongeza, mimi mtoto wa bro wangu wamemwongeza laki 9 kwrnye tuition fee.
 
Mkuu kyagata ni Kwamba Kuna fungu lilibaki kubwa so walipanga wawape Diploma za science na Engineer naona wameamua kutowapa na kutumia Hilo fungu kuwaongezea , Watu tuition fees , so huyo Mdogo ako , nadhani.... Kapewa Ada yote Mkuu hapo ni kushukuru Mungu maana Hana Deni .
 
Usicho elewa hapo nini au huyo dogo haelewi nini hapo....?? Mbona imejieleza kuwa hiyo ni addition
 
Na mwambie asome akizingua mwaka wa pili mambo yanageuka..
Wanapunguza tena kutokana na utopolo atakao ufanya
 
Mkuu kyagata ni Kwamba Kuna fungu lilibaki kubwa so walipanga wawape Diploma za science na Engineer naona wameamua kutowapa na kutumia Hilo fungu kuwaongezea , Watu tuition fees , so huyo Mdogo ako , nadhani.... Kapewa Ada yote Mkuu hapo ni kushukuru Mungu maana Hana Deni .
Poa mkuu,shukrani
 
Wakuu, kwema?

Hii kitu sijaielewa naomba kueleweshwa, nimepita kwenye account ya dogo ya HESLB nimekuta kuna Additional loan ya kama laki 4 kwenye upande wa tuition fees,nimemuuliza dogo nae anaonekana kushangaa tu hajui chochote.

Naomba kuuliza hawa first year waliongezewa mkopo kimya kimya au ni nini hiki?View attachment 2506828
Uyo ni dogo lako au ni wewe mwenyewe 😁😁
 
Kwanza niseme kabisa hatutachoka kudai pesa yetu halali inayotokana na madai ya kurejeshewa kiasi kilichozidishwa kwenye makato wakati wa urejeshaji wa deni la mkopo pindi tukamilishapo urejeshaji deni lote.

Hawa wahuni wa Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu wamekuwa na kawaida ya kuendelea kuwakata wanufaika kupitia mishahara hata baada ya kukamilika kwa marejesho.

Ukikamilisha kujisajiri kwenye Akaunti yao ya Loan Refund wanakwambia subiri ndani ya siku 90 kumbe hiyo ni lugha tu ya kukuondoa ofisini kwao. Ukifuatilia baada ya siku 90 kupita wanaendelea kukuzungusha.

Ukifika pale ofisi zao za Dar au za kanda mnajikuta wenye tatizo hilo mko wengi sana. Ukiwapigia namba yao ya mawasiliano hata siku moja haipokelewi. Prof Mkenda jaribu kuwapigia uone. Hivi hata hili tumkumbuke jamani marehemu JPM?
 
Kwanza niseme kabisa hatutachoka kudai pesa yetu halali inayotokana na madai ya kurejeshewa kiasi kilichozidishwa kwenye makato wakati wa urejeshaji wa deni la mkopo pindi tukamilishapo urejeshaji deni lote.

Hawa wahuni wa Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu wamekuwa na kawaida ya kuendelea kuwakata wanufaika kupitia mishahara hata baada ya kukamilika kwa marejesho.

Ukikamilisha kujisajiri kwenye Akaunti yao ya Loan Refund wanakwambia subiri ndani ya siku 90 kumbe hiyo ni lugha tu ya kukuondoa ofisini kwao. Ukifuatilia baada ya siku 90 kupita wanaendelea kukuzungusha.

Ukifika pale ofisi zao za Dar au za kanda mnajikuta wenye tatizo hilo mko wengi sana. Ukiwapigia namba yao ya mawasiliano hata siku moja haipokelewi. Prof Mkenda jaribu kuwapigia uone. Hivi hata hili tumkumbuke jamani marehemu JPM?
Pole Mkuu lakini tumia lugha nzuri katika kufikisha ujumbe wako
 
Kwanza niseme kabisa hatutachoka kudai pesa yetu halali inayotokana na madai ya kurejeshewa kiasi kilichozidishwa kwenye makato wakati wa urejeshaji wa deni la mkopo pindi tukamilishapo urejeshaji deni lote.

Hawa wahuni wa Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu wamekuwa na kawaida ya kuendelea kuwakata wanufaika kupitia mishahara hata baada ya kukamilika kwa marejesho.

Ukikamilisha kujisajiri kwenye Akaunti yao ya Loan Refund wanakwambia subiri ndani ya siku 90 kumbe hiyo ni lugha tu ya kukuondoa ofisini kwao. Ukifuatilia baada ya siku 90 kupita wanaendelea kukuzungusha.

Ukifika pale ofisi zao za Dar au za kanda mnajikuta wenye tatizo hilo mko wengi sana. Ukiwapigia namba yao ya mawasiliano hata siku moja haipokelewi. Prof Mkenda jaribu kuwapigia uone. Hivi hata hili tumkumbuke jamani marehemu JPM?
weka ushahidi wapeleke mahakamani
 
Back
Top Bottom