Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Mwenyezi Mungu anijalie uzima na afya tele ili nije kuwasomesha watoto wangu kwa fedha zangu za mfukoni, na siyo kwa kutegemea hii Bodi ya Mikopo, ambayo kimsingi ni jipu kwa wale wanufaika waliofanikiwa kurejesha mkopo.
Maana kubambikiwa deni ni nje nje. Sitokubali kuona watoto wangu wakifanyiwa huu ujinga.
Yaani unaandikiwa mkopo wa kulipa, unalipa mpaka deni linaisha! Halafu baadaye unaletewa makato mengine kutoka kusikojulikana, na kutakiwa kulipa tena!
Maana kubambikiwa deni ni nje nje. Sitokubali kuona watoto wangu wakifanyiwa huu ujinga.
Yaani unaandikiwa mkopo wa kulipa, unalipa mpaka deni linaisha! Halafu baadaye unaletewa makato mengine kutoka kusikojulikana, na kutakiwa kulipa tena!