Hivi hii hali mtaani naiona mimi peke yangu au ni kawaida hii??

Hivi hii hali mtaani naiona mimi peke yangu au ni kawaida hii??

IQup

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2018
Posts
1,166
Reaction score
1,808
Yaani huku mtaani ni shida sana, nchi yetu imekuwa kama haina kiongozi mkuu wa kukemea yaani.
...wageni (wahindi, wachina n.k) wanazidi kuongezeka mitaani.
  • wamegeuka mamachinga wanazungusha vyombo (uza) kwenye mitaa kwa kutumia magari (noah)
  • wanauza bia yaani vilevi wanazunguka kwenye mabaa na maduka kutafuta oda
  • wameanza kuendesha bodaboda na kupakia mishikaki na hawavai helmet
  • pia wanaendesha magari sidhani kama wana vibali vya kuendesha vyombo vya moto hapa nchini!!
  • (wageni hawa wamekuja nchini kuharibu utaratibu wa wenyeji ama wana malengo gani wenzetu?)
Viongozi wetu wapo busy sana kiasi kwamba hawawaoni hawa mabwana mtaani humu??
 
Jiandae kwa ushindani piga kazi kuwazidi wao, ukiacha ngozi nyeupe hapa dsm kuna wakongoman, wanyarwanda, wasomali, wakenya, wamalawi na warundi kibao wanajiita waha sasa ndo hatuwezi kuzuia globalisation hivyo kaa kiushindani la utatoweka sokoni dunia imekuwa kijiji na mda sio mrefu watajaa na wanaigeria
 
Yaani huku mtaani ni shida sana, nchi yetu imekuwa kama haina kiongozi mkuu wa kukemea yaani.
...wageni (wahindi, wachina n.k) wanazidi kuongezeka mitaani.
  • wamegeuka mamachinga wanazungusha vyombo (uza) kwenye mitaa kwa kutumia magari (noah)
  • wanauza bia yaani vilevi wanazunguka kwenye mabaa na maduka kutafuta oda
  • wameanza kuendesha bodaboda na kupakia mishikaki na hawavai helmet
  • pia wanaendesha magari sidhani kama wana vibali vya kuendesha vyombo vya moto hapa nchini!!
  • (wageni hawa wamekuja nchini kuharibu utaratibu wa wenyeji ama wana malengo gani wenzetu?)
Viongozi wetu wapo busy sana kiasi kwamba hawawaoni hawa mabwana mtaani humu??
Yaani ni MUNGU tu asimamie nasi, hali ni mbaya !
 
Si hatujielewi...viongozi wamekalia siasa za Mama kampeni miaka mitano... Yaani wamelala...immigration wanapiga hela tu maana hakuna Sera za kuwabana Hawa...na sisi wabongo tuna Tabia ya kuwaabudu wageni ....kwa sababu Ana chochote kitu...shy huko wanachimba madini migodi midogo na ya Kati....hawahifadhi mazingira yaani NI tafrani
 
Yaani huku mtaani ni shida sana, nchi yetu imekuwa kama haina kiongozi mkuu wa kukemea yaani.
...wageni (wahindi, wachina n.k) wanazidi kuongezeka mitaani.
  • wamegeuka mamachinga wanazungusha vyombo (uza) kwenye mitaa kwa kutumia magari (noah)
  • wanauza bia yaani vilevi wanazunguka kwenye mabaa na maduka kutafuta oda
  • wameanza kuendesha bodaboda na kupakia mishikaki na hawavai helmet
  • pia wanaendesha magari sidhani kama wana vibali vya kuendesha vyombo vya moto hapa nchini!!
  • (wageni hawa wamekuja nchini kuharibu utaratibu wa wenyeji ama wana malengo gani wenzetu?)
Viongozi wetu wapo busy sana kiasi kwamba hawawaoni hawa mabwana mtaani humu??
Mbona watanzania wapo pia huko china na India wanafanya kazi?
-mbona watanzania pia hawavai helmet?
kama hamtaki wenzenu waje Tanzania basi na watanzania wasiende nchi za wengine.
 
Jiandae kwa ushindani piga kazi kuwazidi wao, ukiacha ngozi nyeupe hapa dsm kuna wakongoman, wanyarwanda, wasomali, wakenya, wamalawi na warundi kibao wanajiita waha sasa ndo hatuwezi kuzuia globalisation hivyo kaa kiushindani la utatoweka sokoni dunia imekuwa kijiji na mda sio mrefu watajaa na wanaigeria
Daaah huku moshi disemba wanaijeria kibao walikuja na wachagga, eti wanasema wamekuja na marafiki kula sikukuu, washazoea mbege.
 
Yaani huku mtaani ni shida sana, nchi yetu imekuwa kama haina kiongozi mkuu wa kukemea yaani.
...wageni (wahindi, wachina n.k) wanazidi kuongezeka mitaani.
  • wamegeuka mamachinga wanazungusha vyombo (uza) kwenye mitaa kwa kutumia magari (noah)
  • wanauza bia yaani vilevi wanazunguka kwenye mabaa na maduka kutafuta oda
  • wameanza kuendesha bodaboda na kupakia mishikaki na hawavai helmet
  • pia wanaendesha magari sidhani kama wana vibali vya kuendesha vyombo vya moto hapa nchini!!
  • (wageni hawa wamekuja nchini kuharibu utaratibu wa wenyeji ama wana malengo gani wenzetu?)
Viongozi wetu wapo busy sana kiasi kwamba hawawaoni hawa mabwana mtaani humu??
Mitaa ya wapi mkuu
 
Sasa hao wachina na wahindi ndo wanauza bei halisi, BEI CHEE. sio zile bei za mawinga. Fuatilia utagundua utakuja kufuta uzi wako. WAZAWA WANA NJAA SANA ACHA WAGENI WATUONYESHE KAZI.
 
Yaani huku mtaani ni shida sana, nchi yetu imekuwa kama haina kiongozi mkuu wa kukemea yaani.
...wageni (wahindi, wachina n.k) wanazidi kuongezeka mitaani.
  • wamegeuka mamachinga wanazungusha vyombo (uza) kwenye mitaa kwa kutumia magari (noah)
  • wanauza bia yaani vilevi wanazunguka kwenye mabaa na maduka kutafuta oda
  • wameanza kuendesha bodaboda na kupakia mishikaki na hawavai helmet
  • pia wanaendesha magari sidhani kama wana vibali vya kuendesha vyombo vya moto hapa nchini!!
  • (wageni hawa wamekuja nchini kuharibu utaratibu wa wenyeji ama wana malengo gani wenzetu?)
Viongozi wetu wapo busy sana kiasi kwamba hawawaoni hawa mabwana mtaani humu??
Umesahau mashine za kamari/gulugulu.Hectic!
 
Hadi kwenye bidhaa za madukani. Za kitanzania zina bei kuliko za wageni. Na zote zimethibitishwa na tbs. Sasa sijui tumerogwa. Acha wachina watusanue how this bizness go.
 
Serikali isifanye chochote kwa hao wageni mpaka mawinga kule kariakoo watokomee! Na wazawa wenye njaa wanaouza bidhaa zao bei juu wafe kabisa. Kisha tuamie kwa madalali wa "ongeza na ya mwezi mmoja wa dalali"
 
Back
Top Bottom