Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
Serikali iwaache hivohivo wafanya biashara wa bongo mshazoea kuuza bei mnayojisikia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona watanzania wapo pia huko china na India wanafanya kazi?
-mbona watanzania pia hawavai helmet?
kama hamtaki wenzenu waje Tanzania basi na watanzania wasiende nchi za wengine.
na wewe si usambaze ? wivu tu. kama mmeshindwa kufanya biashara unalaumu nan? watu wapo seriius na kaz mzeeHuku Ilemela niliona mchina yuko na gari aina ya Noah anasambaza mikate kwenye maduka nikashangaa sana. Mikate ya wazawa itadoda jamani😭😭😭
Huku Gongolamboto kuna mchina kafungua Bar na anachezesha dubu(kamali).Mitaa ya wapi mkuu
Wewe ukienda nchi za watu kama china ,marekani ,canada unatawaliwa jinsi yakuishi . Kha hizi nchi mtu anaishi kwa raha zake hapangiwi etiYaani huku mtaani ni shida sana, nchi yetu imekuwa kama haina kiongozi mkuu wa kukemea yaani.
...wageni (wahindi, wachina n.k) wanazidi kuongezeka mitaani.
Viongozi wetu wapo busy sana kiasi kwamba hawawaoni hawa mabwana mtaani humu??
- wamegeuka mamachinga wanazungusha vyombo (uza) kwenye mitaa kwa kutumia magari (noah)
- wanauza bia yaani vilevi wanazunguka kwenye mabaa na maduka kutafuta oda
- wameanza kuendesha bodaboda na kupakia mishikaki na hawavai helmet
- pia wanaendesha magari sidhani kama wana vibali vya kuendesha vyombo vya moto hapa nchini!!
- (wageni hawa wamekuja nchini kuharibu utaratibu wa wenyeji ama wana malengo gani wenzetu?)
CCM ndo shina la haya yoteYaani huku mtaani ni shida sana, nchi yetu imekuwa kama haina kiongozi mkuu wa kukemea yaani.
...wageni (wahindi, wachina n.k) wanazidi kuongezeka mitaani.
Viongozi wetu wapo busy sana kiasi kwamba hawawaoni hawa mabwana mtaani humu??
- wamegeuka mamachinga wanazungusha vyombo (uza) kwenye mitaa kwa kutumia magari (noah)
- wanauza bia yaani vilevi wanazunguka kwenye mabaa na maduka kutafuta oda
- wameanza kuendesha bodaboda na kupakia mishikaki na hawavai helmet
- pia wanaendesha magari sidhani kama wana vibali vya kuendesha vyombo vya moto hapa nchini!!
- (wageni hawa wamekuja nchini kuharibu utaratibu wa wenyeji ama wana malengo gani wenzetu?)
Shamba la grand ma😂🤣Yaani huku mtaani ni shida sana, nchi yetu imekuwa kama haina kiongozi mkuu wa kukemea yaani.
...wageni (wahindi, wachina n.k) wanazidi kuongezeka mitaani.
Viongozi wetu wapo busy sana kiasi kwamba hawawaoni hawa mabwana mtaani humu??
- wamegeuka mamachinga wanazungusha vyombo (uza) kwenye mitaa kwa kutumia magari (noah)
- wanauza bia yaani vilevi wanazunguka kwenye mabaa na maduka kutafuta oda
- wameanza kuendesha bodaboda na kupakia mishikaki na hawavai helmet
- pia wanaendesha magari sidhani kama wana vibali vya kuendesha vyombo vya moto hapa nchini!!
- (wageni hawa wamekuja nchini kuharibu utaratibu wa wenyeji ama wana malengo gani wenzetu?)
😂😂😂Kila kamba atakula kwa urefu wa mbuzi wake
...Una Hakika India Kuna Mmachinga wa Kibongo ???...Mbona watanzania wapo pia huko china na India wanafanya kazi?
-mbona watanzania pia hawavai helmet?
kama hamtaki wenzenu waje Tanzania basi na watanzania wasiende nchi za wengine.
Ndio ni wewe tuuYaani huku mtaani ni shida sana, nchi yetu imekuwa kama haina kiongozi mkuu wa kukemea yaani.
...wageni (wahindi, wachina n.k) wanazidi kuongezeka mitaani.
Viongozi wetu wapo busy sana kiasi kwamba hawawaoni hawa mabwana mtaani humu??
- wamegeuka mamachinga wanazungusha vyombo (uza) kwenye mitaa kwa kutumia magari (noah)
- wanauza bia yaani vilevi wanazunguka kwenye mabaa na maduka kutafuta oda
- wameanza kuendesha bodaboda na kupakia mishikaki na hawavai helmet
- pia wanaendesha magari sidhani kama wana vibali vya kuendesha vyombo vya moto hapa nchini!!
- (wageni hawa wamekuja nchini kuharibu utaratibu wa wenyeji ama wana malengo gani wenzetu?)
DSM & DOMMitaa ya wapi mkuu
watanzania kutovaa helmet haimaanishi wageni waje nao wasivae helmet, huwezi enda nchi ya mwenzako ukawa unavunja sheria kama wazawa ...HAIWEZEKANIMbona watanzania wapo pia huko china na India wanafanya kazi?
-mbona watanzania pia hawavai helmet?
kama hamtaki wenzenu waje Tanzania basi na watanzania wasiende nchi za wengine.