Hivi hii hali mtaani naiona mimi peke yangu au ni kawaida hii??

Hivi hii hali mtaani naiona mimi peke yangu au ni kawaida hii??

Huo ndio utandawazi hakuna cha ajabu hapo. Na wakishakuja wachache wakaona tulivyolala wanaita wenzao so tegemea wageni zaidi
WAHINDI naona wakienda kwao wakirudi wanakuja wengi zaidi, anakuja mmoja anafungua kaduka anarudi kwao alafu wanakuja wanne na wote wanakaa dukani hapo..unakuta nyumba waliyopanga ni ya bei kubwa sana unajiuliza kodi wanatoa wapi? au wana biashara zingine za siri hapa nchini
 
Niliona mzungu anakopesha subwoofer kwa kutembeza majumbani
nami wamewahi nipitia nyumbani wakiwa na noah, wanauza ma etipot, friji, subwoffer za laki sita wanataka nilipe kianzio laki moja alafu zingine watakuja kuchukua kila mwezi laki moja moja...yule mzungu hajui hata kiswahili yeye ni english tu...yupo na m bongo anamuonesha njia...nikastaajabu sana hili
 
Back
Top Bottom