Hivi hii hali ni kutaka tu wenyewe au kujisahau?

Hivi hii hali ni kutaka tu wenyewe au kujisahau?

To yeye

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
35,686
Reaction score
86,968
Hivi hii hali ni kutaka tu au kujisahau? Yaan kitendo Cha mwanaume kuoa tu basi na kuvaa nguo Kwa kubadilisha kunaishia hapo full shati Moja au matatu, kazini, nyumbani na la kanisani.

Kumkuta mwanaume ameoa lakini kavaa kiatu Cha ngozi kimeachama kidogo ni kawaida sana.

Mtazame mkewe sasa, mpaka nguo zingine inabidi atupe tu maana ni Kila Leo kushona mpya, hakuna sherehe haimpiti kushonea nguo. Tuwe tunakumbuka hata kuwashonea au kuwanunulia mashati waume zetu wamama wenzangu, yaani kilekile kidogo anachokupea upendeze, kigawanyishe mpendeze wote labda kama wanataka wao wenyewe kuwa hivo.

Wababa, tunajua mnatingwa sana kututafutia lakini jikumbukeni pia tafadhali, mbaya sana kuonekana ulikuwa mnene sana kabla hujaoa mnawatukania wake zenu ivo kuwa hawawatunzi vyema.

Ndo hivo.
 
Hivi hii hali ni kutaka tu au kujisahau? Yaan kitendo Cha mwanaume kuoa tu bas na kuvaa nguo Kwa kubadilisha kunaishia hapo.....full shati Moja au matatu....kazini,nyumbani na la kanisani.....kumkuta mwanaume ameoa lakini kavaa kiatu Cha ngoz kimeachama kidogo ni kawaida sana.
Mtazame mkewe sasa, mpaka nguo zingine inabidi atupe tu maana ni Kila Leo kushona mpya....hakuna sherehe haimpiti kushonea nguo.Tuwe tunakumbuka hata kuwashonea au kuwanunulia mashati waume zetu wamama wenzangu.....yaani kilekile kidogo anachokupea upendeze,kigawanyishe mpendeze wote.....labda kama wanataka wao wenyewe kuwa ivo.
Wababa,tunajua mnatingwa sana kututafutia lakini jikumbukeni pia tafadhali.....mbaya sana kuonekana ulikuwa mnene sana kabla hujaoa mnawatukania wake zenu ivo kuwa hawawatunzi vyema.

Ndo ivo
Yani mimi dume zima nasubiri kununuliwa nguo na mke wangu?

Hayo maduka siyaoni?
 
Bora wewe mwanamke useme labda watakusikia.

I have two brothers... Si ajabu ukawakuta hawana hata mia na ni mwanzo wa mwezi, eti pesa yao inashikiliwa na wake zao! Mimi naishiaga kusema heee! Nikilalamiga naambiwaga nawaonea wivu mawifi zangu 😂 Wasichojua ni kuwa huwa nyuma ya pazia nawapiga tafu sana waume zao sometimes kwa pesa au michongo.

Ukioa/Olewa by manipulation au vyovyote ukawa unamtesa mwenzi wako, jiulize ndugu zake wanajisikiaje, mama yake au baba yake anajisikiaje? Ndugu zako hawawezi kujisikia chochote sababu yawezekana wao ni wanufaika wa huo utapeli.

Hili somo lilinifanya nijiapize kuwa nina option mbili tu, either nisiolewe kabisa, au nikiolewa nisipeleke shida kwenye familia ya watu! Namshukuru Mungu ya pili ilishatimia.

Na ninyi wanaume oeni saizi zenu, bila kujua mnazisononesha sana familia zenu!
 
Bora wewe mwanamke useme labda watakusikia.

I have two brothers... Si ajabu ukawakuta hawana hata mia na ni mwanzo wa mwezi, eti pesa yao inashikiliwa na wake zao! Mimi naishiaga kusema heee! Nikilalamiga naambiwaga nawaonea wivu mawifi zangu 😂 Wasichojua ni kuwa huwa nyuma ya pazia nawapiga tafu sana waume zao sometimes kwa pesa au michongo.

Ukioa/Olewa by manipulation au vyovyote ukawa unamtesa mwenzi wako, jiulize ndugu zake wanajisikiaje, mama yake au baba yake anajisikiaje? Ndugu zako hawawezi kujisikia chochote sababu yawezekana wao ni wanufaika wa huo utapeli.

Hili somo lilinifanya nijiapize kuwa nina option mbili tu, either nisiolewe kabisa, au nikiolewa nisipeleke shida kwenye familia ya watu! Namshukuru Mungu ya pili ilishatimia.

Na ninyi wanaume oeni saizi zenu, bila kujua mnazisononesha sana familia zenu!
sis, umeongea kwa uchunguuu!
 
Bora wewe mwanamke useme labda watakusikia.

I have two brothers... Si ajabu ukawakuta hawana hata mia na ni mwanzo wa mwezi, eti pesa yao inashikiliwa na wake zao! Mimi naishiaga kusema heee! Nikilalamiga naambiwaga nawaonea wivu mawifi zangu 😂 Wasichojua ni kuwa huwa nyuma ya pazia nawapiga tafu sana waume zao sometimes kwa pesa au michongo.

Ukioa/Olewa by manipulation au vyovyote ukawa unamtesa mwenzi wako, jiulize ndugu zake wanajisikiaje, mama yake au baba yake anajisikiaje? Ndugu zako hawawezi kujisikia chochote sababu yawezekana wao ni wanufaika wa huo utapeli.

Hili somo lilinifanya nijiapize kuwa nina option mbili tu, either nisiolewe kabisa, au nikiolewa nisipeleke shida kwenye familia ya watu! Namshukuru Mungu ya pili ilishatimia.

Na ninyi wanaume oeni saizi zenu, bila kujua mnazisononesha sana familia zenu!
Dada, Watasema naongea nionekane....lakini kiukweli mwanamke akiolewa tu anakuwa adui Kwa mume we na familia yake....kujitawala as if yeye ndo kaoa mwanaume.Wanaume hawasemi tu lakini wananyanyasika sana
 
Back
Top Bottom