Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa,inabidi msimame kiume
Mwanamke ni kama mtoto unavyomlea ndivyo nae aendavyo
Wenye Ile kampeni Habari yoote wataona kipande hichowanufaika wa huo utapeli.
Hili somo lilinifanya nijiapize kuwa nina option mbili tu, either nisiolewe
Yaan tumekaa kibinafsi sanaIlinitokea hii............................................
Yaani nataka tutoke out, hapo jinzi zote zimepauka halafu eti kananichagulia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Yeye kapendeza nikasema siwezi kuonekana kama mchimbaji wa migodi ya dhahabu chunya.
Hivyo nikawapigia boda boda wa pale City lounge ninaye mjua alete chakula Nyumbani.
Kaka nuna eti sitaki kumtoa out halafu kesho yake kanaomba jiwe mbili kakafanye shopping ya nguo yeye na mtoto wetu.
Alisha oa huyo mzee yeye nadanganya vijana hapa jf tuuYaan wewe,nahisigi ushaoa tayari....sijui kwanini
Mbona mwanzoni baada ya kuoa vitambi huwa vinatokeza sana au sio afya?Ndo hicho nilikuwa nasema,Yaan wanaume wachache sana kumkuta wamenenepa ndani ya ndoa😂🤭
Na utacheat tu....time will tell 😜Hamuelewekagi bhna nyie nampenda my lovel ila now tunaishi kimazoea sana Dah mpaka natamani kumchit wakat sijawai na sikiwai kuwaza ila mambo yake hakuna ata siku mmoja alio nipa zawadi kila sik mimi natoa kama vile ni mo
Tukinenela mnasema hatuwapelekei moto vizuriNdo hicho nilikuwa nasema,Yaan wanaume wachache sana kumkuta wamenenepa ndani ya ndoa😂🤭
Kumbe kupewa kila siku hunenepesha?Vinachomoza kupewa mbunye daily