BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na akuepushe kweli kweli, mmoja ni wadamu wengine ni kaka zangu wa kidunia. (hawa wakidunia sijawahi wasaidia kitu kikubwa, maana wako vizuri tayari hivyo sina hata mandate ya kuwasimanga)Hao kaka zako wameshikika kweli kweli, kuna ile kauli mnasemaga kwako hafurukuti umemuweka kiganjani. Ndio type za mawifi zako hizo. Mungu aniepushie mbali aina hiyo ya wanawake maana nitakufa kabla ya siku zangu.
Mzee baba sijaoa na sitaoa mi msela wa kudumu mpaka naingia kaburini 🤣🤣🤣
Kuna nguvu ipo inayofanya hayo yote yawezekane nadhani ni miongoni mwa limbwata. Huwa nasema nirogwe kwenye mengineyo ila sio mapenzi maana huwa unafanya kazi haraka na kwa ufanisi mkubwa mno. Kuna ndugu yangu ni mkorofi sana ila kwa mkewe hana kauli atapika, atafua, kazi zote yeye na kugombezwa juu. Mshahara karibia wote anaacha kwa mke, ndugu washamshauri wakachoka lile ni limbwata grade A kabisa.Na akuepushe kweli kweli, mmoja ni wadamu wengine ni kaka zangu wa kidunia. (hawa wakidunia sijawahi wasaidia kitu kikubwa, maana wako vizuri tayari hivyo sina hata mandate ya kuwasimanga)
Things wako nacho in common wote ni vipanga kweli kweli sasa sijui whats wrong with these people! Huyo mwingine anaambiwaga usiwasaidie kwenu ni wachawi watakuloga 😅 wakati mke kwao anapeleka kila msaada! What a manipulator! 😂😂😂😂
Hawa kaka zangu wa kidunia siwezi hata kuwashauri maana ni wakubwa sana kwangu, mmoja juzi akanifungukia kila kitu, nilimjibu kuwa Mwenyezi Mungu aendelee kukupa nguvu! 😂😂
Huyu niliyezaliwa nae huwa namchana tu simuogopi wala nini!
Na utacheat tu....time will tell [emoji12]
Sikufukuzi naoa mke wa piliTuoeni tufunzeni kuishi nanyi,tukishindwa tufukuzeni
Mzee baba sijaoa na sitaoa mi msela wa kudumu mpaka naingia kaburini [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
#KATAA NDOA for life
Hivi hii hali ni kutaka tu au kujisahau? Yaan kitendo Cha mwanaume kuoa tu basi na kuvaa nguo Kwa kubadilisha kunaishia hapo full shati Moja au matatu, kazini, nyumbani na la kanisani.
Kumkuta mwanaume ameoa lakini kavaa kiatu Cha ngozi kimeachama kidogo ni kawaida sana.
Mtazame mkewe sasa, mpaka nguo zingine inabidi atupe tu maana ni Kila Leo kushona mpya, hakuna sherehe haimpiti kushonea nguo. Tuwe tunakumbuka hata kuwashonea au kuwanunulia mashati waume zetu wamama wenzangu, yaani kilekile kidogo anachokupea upendeze, kigawanyishe mpendeze wote labda kama wanataka wao wenyewe kuwa hivo.
Wababa, tunajua mnatingwa sana kututafutia lakini jikumbukeni pia tafadhali, mbaya sana kuonekana ulikuwa mnene sana kabla hujaoa mnawatukania wake zenu ivo kuwa hawawatunzi vyema.
Ndo hivo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2960]
"Oeni zaidi yenu"unamaanisha niniBora wewe mwanamke useme labda watakusikia.
I have two brothers... Si ajabu ukawakuta hawana hata mia na ni mwanzo wa mwezi, eti pesa yao inashikiliwa na wake zao! Mimi naishiaga kusema heee! Nikilalamiga naambiwaga nawaonea wivu mawifi zangu [emoji23] Wasichojua ni kuwa huwa nyuma ya pazia nawapiga tafu sana waume zao sometimes kwa pesa au michongo.
Ukioa/Olewa by manipulation au vyovyote ukawa unamtesa mwenzi wako, jiulize ndugu zake wanajisikiaje, mama yake au baba yake anajisikiaje? Ndugu zako hawawezi kujisikia chochote sababu yawezekana wao ni wanufaika wa huo utapeli.
Hili somo lilinifanya nijiapize kuwa nina option mbili tu, either nisiolewe kabisa, au nikiolewa nisipeleke shida kwenye familia ya watu! Namshukuru Mungu ya pili ilishatimia.
Na ninyi wanaume oeni saizi zenu, bila kujua mnazisononesha sana familia zenu!
Aisee sijui nifanyeje kwa yule binti tumeivana sana halafu mwenzake sina mpango wa ndoa yeye anajua mwakani February tunafunga ndoa. 😀😀😀 Utamuweza?Kwahiyo dada wa watu kule yupo anajitunza umuoe kumbe wewe una mchora si bora nimtolee mimi posa ww usibili
Kutovaa vizuri kwa mume ni udhafu wa mkeHivi hii hali ni kutaka tu au kujisahau? Yaan kitendo Cha mwanaume kuoa tu basi na kuvaa nguo Kwa kubadilisha kunaishia hapo full shati Moja au matatu, kazini, nyumbani na la kanisani.
Kumkuta mwanaume ameoa lakini kavaa kiatu Cha ngozi kimeachama kidogo ni kawaida sana.
Mtazame mkewe sasa, mpaka nguo zingine inabidi atupe tu maana ni Kila Leo kushona mpya, hakuna sherehe haimpiti kushonea nguo. Tuwe tunakumbuka hata kuwashonea au kuwanunulia mashati waume zetu wamama wenzangu, yaani kilekile kidogo anachokupea upendeze, kigawanyishe mpendeze wote labda kama wanataka wao wenyewe kuwa hivo.
Wababa, tunajua mnatingwa sana kututafutia lakini jikumbukeni pia tafadhali, mbaya sana kuonekana ulikuwa mnene sana kabla hujaoa mnawatukania wake zenu ivo kuwa hawawatunzi vyema.
Ndo hivo.