Hivi hii hali ni kutaka tu wenyewe au kujisahau?

Hivi hii hali ni kutaka tu wenyewe au kujisahau?

Nakaribia kunenepa hapa, miaka 3 ndani ya ndoa[emoji3][emoji3]
.......mwanangu kama bibie kakupa fursa ya kunenepa we nenepa.......mwanamke akikupenda kweli mwanaume lazima utakuwa na muonekano wa kupendeza kiafya, kimwili hata kiakili utaona uko well settled......sisi wanaume ni dhaifu sana Kwa hawa akina mama, tupo tayari kujinyima Ili kuwafurahisha........so ili usiumie lazima upate bibie mwenye hekima na upendo wa kweli, kitu ambacho wengi wetu huwa tunaangukia pua na kuanza kufubaa na kunyauka ndani ya ndoa......
 
Sawa Mkuu
Sikusemi, ila nakusihi msaidie either kumkumbusha au ikiwezekana mnunulie.

Siyo kwamba ulichoandika ni uongo; ila nimewaza pengine umeexprience kwako au kwa jamaa wa karibu. That's why nime suggest hivyo, kwani wahenga wanasema "charity begins from home".

Saa nyingine mnanunuliwa nguo nyingi ili kujaribu kuwapunguzia tamaa za kuchepuka.
 
Sikusemi, ila nakusihi msaidie either kumkumbusha au ikiwezekana mnunulie.

Siyo kwamba ulichoandika ni uongo; ila nimewaza pengine umeexprience kwako au kwa jamaa wa karibu. That's why nime suggest hivyo, kwani wahenga wanasema "charity begins from home".

Saa nyingine mnanunuliwa nguo nyingi ili kujaribu kuwapunguzia tamaa za kuchepuka.
Sawasawa mkuu
 
.......mwanangu kama bibie kakupa fursa ya kunenepa we nenepa.......mwanamke akikupenda kweli mwanaume lazima utakuwa na muonekano wa kupendeza kiafya, kimwili hata kiakili utaona uko well settled......sisi wanaume ni dhaifu sana Kwa hawa akina mama, tupo tayari kujinyima Ili kuwafurahisha........so ili usiumie lazima upate bibie mwenye hekima na upendo wa kweli, kitu ambacho wengi wetu huwa tunaangukia pua na kuanza kufubaa na kunyauka ndani ya ndoa......
Ukwelu mtupu.
 
Kuna nguvu ipo inayofanya hayo yote yawezekane nadhani ni miongoni mwa limbwata. Huwa nasema nirogwe kwenye mengineyo ila sio mapenzi maana huwa unafanya kazi haraka na kwa ufanisi mkubwa mno. Kuna ndugu yangu ni mkorofi sana ila kwa mkewe hana kauli atapika, atafua, kazi zote yeye na kugombezwa juu. Mshahara karibia wote anaacha kwa mke, ndugu washamshauri wakachoka lile ni limbwata grade A kabisa.
Dah!.. hatari sana hawa viumbe...hapo jamaa kashatengenezwa kwa mganga..
 
Shukran.
Kuna wakati inabidi tuanze kuhimizana kujipenda maana hawa wake tuliooa hawakupitia unyago basi treni linaserereka kilimani na limekata breki
🤣🤣🤣🤣🙌
 
🤣🤣Achana naye huyo
Hahahah
Lakini hamuweI kuamini nikiwaambia ninaamini kupitia JF nimempata yule wa ndoto zangu.

Hapo ndo linapokuja suala la udhaifu wetu wanaume. Ukishazoea kuchakata kihalali basi huwezi kuishi kisela sela ukafurahi, lazima ukwapue jiko mahala ukalimiliki kabisa😄
 
Hahahah
Lakini hamuweI kuamini nikiwaambia ninaamini kupitia JF nimempata yule wa ndoto zangu.

Hapo ndo linapokuja suala la udhaifu wetu wanaume. Ukishazoea kuchakata kihalali basi huwezi kuishi kisela sela ukafurahi, lazima ukwapue jiko mahala ukalimiliki kabisa😄
🤣🤣🤣Kumbe
 
Back
Top Bottom