Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kungekua na wanawake wenye pembe ila hawa wabinafsi na wanaolilia haki sawa sahau kukuta anamnunulia mumewe kitu apendeze kwanza wanahisi tukipendeza tutaonekana nje huko cha msingi ni mwanaume kujipendezesha mwenyewe zile 40k za nywele mpe 20k ili inayobaki unanunua hata kashati ka 18k kariakoo alafu maish yanaendaHivi hii hali ni kutaka tu au kujisahau? Yaan kitendo Cha mwanaume kuoa tu basi na kuvaa nguo Kwa kubadilisha kunaishia hapo full shati Moja au matatu, kazini, nyumbani na la kanisani.
Kumkuta mwanaume ameoa lakini kavaa kiatu Cha ngozi kimeachama kidogo ni kawaida sana.
Mtazame mkewe sasa, mpaka nguo zingine inabidi atupe tu maana ni Kila Leo kushona mpya, hakuna sherehe haimpiti kushonea nguo. Tuwe tunakumbuka hata kuwashonea au kuwanunulia mashati waume zetu wamama wenzangu, yaani kilekile kidogo anachokupea upendeze, kigawanyishe mpendeze wote labda kama wanataka wao wenyewe kuwa hivo.
Wababa, tunajua mnatingwa sana kututafutia lakini jikumbukeni pia tafadhali, mbaya sana kuonekana ulikuwa mnene sana kabla hujaoa mnawatukania wake zenu ivo kuwa hawawatunzi vyema.
Ndo hivo.
Si ajinunulie mwenyewe nguo jamani kwani kabla ya hapo alikuwa ananunuliwa na nani?Hivi hii hali ni kutaka tu au kujisahau? Yaan kitendo Cha mwanaume kuoa tu basi na kuvaa nguo Kwa kubadilisha kunaishia hapo full shati Moja au matatu, kazini, nyumbani na la kanisani.
Kumkuta mwanaume ameoa lakini kavaa kiatu Cha ngozi kimeachama kidogo ni kawaida sana.
Mtazame mkewe sasa, mpaka nguo zingine inabidi atupe tu maana ni Kila Leo kushona mpya, hakuna sherehe haimpiti kushonea nguo. Tuwe tunakumbuka hata kuwashonea au kuwanunulia mashati waume zetu wamama wenzangu, yaani kilekile kidogo anachokupea upendeze, kigawanyishe mpendeze wote labda kama wanataka wao wenyewe kuwa hivo.
Wababa, tunajua mnatingwa sana kututafutia lakini jikumbukeni pia tafadhali, mbaya sana kuonekana ulikuwa mnene sana kabla hujaoa mnawatukania wake zenu ivo kuwa hawawatunzi vyema.
Ndo hivo.
Kabisa mkuu....maana la sivyo ok😂🤒Labda kungekua na wanawake wenye pembe ila hawa wabinafsi na wanaolilia haki sawa sahau kukuta anamnunulia mumewe kitu apendeze kwanza wanahisi tukipendeza tutaonekana nje huko cha msingi ni mwanaume kujipendezesha mwenyewe zile 40k za nywele mpe 20k ili inayobaki unanunua hata kashati ka 18k kariakoo alafu maish yanaenda
Bora huyo humzoi pesa zoteSi ajinunulie mwenyewe nguo jamani kwani kabla ya hapo alikuwa ananunuliwa na nani?
Pesa zake anashindwaje kununua nguo? Nashukuru wa kwangu anajinunulia mwenyewe utashangaa tu kaja na furushi la nguo kajinunulia.
Pesa nyingi anazo yeye sasa mimi kwanini nihangaike kumnunulia nguo? Labda nitake tu mwenyewe nikiona nguo nzuri nimchukulie.Bora huyo humzoi pesa zote
Wanaume tunapambana sana. Tunatamani tunaporudi kutoka kwenye mishe muwe mnatupokea kwa tabasamu la bashasha, mtukumbatie, mtufanyie massage ili akili zituliePoleni sana
Unataka hayo mambo je ulimtengeneza mkeo ili kuhudumie hivyo maana muda mwingine tutawalaumu wanawake ila kinyago chako kichonge mwenyewe ww ndio unajua furaha yako inahitaji nini itimieWanaume tunapambana sana. Tunatamani tunaporudi kutoka kwenye mishe muwe mnatupokea kwa tabasamu la bashasha, mtukumbatie, mtufanyie massage ili akili zitulie.
Hayo yote utayapata kwa mchepuko sio mkeWanaume tunapambana sana. Tunatamani tunaporudi kutoka kwenye mishe muwe mnatupokea kwa tabasamu la bashasha, mtukumbatie, mtufanyie massage ili akili zitulie
Ni miongoni mwa majukumu yao mume anatakiwa alelewe na mke wake ni mtoto mkubwa wa mke mkiwatoa watoto wenuUnataka hayo mambo je ulimtengeneza mkeo ili kuhudumie hivyo maana muda mwingine tutawalaumu wanawake ila kinyago chako kichonge mwenyewe ww ndio unajua furaha yako inahitaji nini itimie
Oa kwanza ndo utoe comment kama hii. Wapo wenzio wachache wanafanyiwa yote hayo 😅Wanaume tunapambana sana. Tunatamani tunaporudi kutoka kwenye mishe muwe mnatupokea kwa tabasamu la bashasha, mtukumbatie, mtufanyie massage ili akili zitulie
Ni kweli lakini angalau hata kwa wiki mara 3 au 4 ukinifanyia hivyo inatoshaHakika,sema majukumu ni mengi
Nisije nikajifungia kwenye frame bure nikafa kimyakimya 😀Oa kwanza ndo utoe comment kama hii. Wapo wenzio wachache wanafanyiwa yote hayo 😅
Aisee huu msemo wa kusema mume ni kama mtoto unipitie mbali. I need a man not a boyNi miongoni mwa majukumu yao mume anatakiwa alelewe na mke wake ni mtoto mkubwa wa mke mkiwatoa watoto wenu