Hivi hii hali ni kutaka tu wenyewe au kujisahau?

Hivi hii hali ni kutaka tu wenyewe au kujisahau?

Hivi hii hali ni kutaka tu au kujisahau? Yaan kitendo Cha mwanaume kuoa tu basi na kuvaa nguo Kwa kubadilisha kunaishia hapo full shati Moja au matatu, kazini, nyumbani na la kanisani.

Kumkuta mwanaume ameoa lakini kavaa kiatu Cha ngozi kimeachama kidogo ni kawaida sana.

Mtazame mkewe sasa, mpaka nguo zingine inabidi atupe tu maana ni Kila Leo kushona mpya, hakuna sherehe haimpiti kushonea nguo. Tuwe tunakumbuka hata kuwashonea au kuwanunulia mashati waume zetu wamama wenzangu, yaani kilekile kidogo anachokupea upendeze, kigawanyishe mpendeze wote labda kama wanataka wao wenyewe kuwa hivo.

Wababa, tunajua mnatingwa sana kututafutia lakini jikumbukeni pia tafadhali, mbaya sana kuonekana ulikuwa mnene sana kabla hujaoa mnawatukania wake zenu ivo kuwa hawawatunzi vyema.

Ndo hivo.
Labda kungekua na wanawake wenye pembe ila hawa wabinafsi na wanaolilia haki sawa sahau kukuta anamnunulia mumewe kitu apendeze kwanza wanahisi tukipendeza tutaonekana nje huko cha msingi ni mwanaume kujipendezesha mwenyewe zile 40k za nywele mpe 20k ili inayobaki unanunua hata kashati ka 18k kariakoo alafu maish yanaenda
 
Hivi hii hali ni kutaka tu au kujisahau? Yaan kitendo Cha mwanaume kuoa tu basi na kuvaa nguo Kwa kubadilisha kunaishia hapo full shati Moja au matatu, kazini, nyumbani na la kanisani.

Kumkuta mwanaume ameoa lakini kavaa kiatu Cha ngozi kimeachama kidogo ni kawaida sana.

Mtazame mkewe sasa, mpaka nguo zingine inabidi atupe tu maana ni Kila Leo kushona mpya, hakuna sherehe haimpiti kushonea nguo. Tuwe tunakumbuka hata kuwashonea au kuwanunulia mashati waume zetu wamama wenzangu, yaani kilekile kidogo anachokupea upendeze, kigawanyishe mpendeze wote labda kama wanataka wao wenyewe kuwa hivo.

Wababa, tunajua mnatingwa sana kututafutia lakini jikumbukeni pia tafadhali, mbaya sana kuonekana ulikuwa mnene sana kabla hujaoa mnawatukania wake zenu ivo kuwa hawawatunzi vyema.

Ndo hivo.
Si ajinunulie mwenyewe nguo jamani kwani kabla ya hapo alikuwa ananunuliwa na nani?

Pesa zake anashindwaje kununua nguo? Nashukuru wa kwangu anajinunulia mwenyewe utashangaa tu kaja na furushi la nguo kajinunulia.

Mwanaume asiyejijali mwenyewe ana matatizo makubwa.
 
Labda kungekua na wanawake wenye pembe ila hawa wabinafsi na wanaolilia haki sawa sahau kukuta anamnunulia mumewe kitu apendeze kwanza wanahisi tukipendeza tutaonekana nje huko cha msingi ni mwanaume kujipendezesha mwenyewe zile 40k za nywele mpe 20k ili inayobaki unanunua hata kashati ka 18k kariakoo alafu maish yanaenda
Kabisa mkuu....maana la sivyo ok😂🤒
 
Si ajinunulie mwenyewe nguo jamani kwani kabla ya hapo alikuwa ananunuliwa na nani?

Pesa zake anashindwaje kununua nguo? Nashukuru wa kwangu anajinunulia mwenyewe utashangaa tu kaja na furushi la nguo kajinunulia.
Bora huyo humzoi pesa zote
 
Wanaume tunapambana sana. Tunatamani tunaporudi kutoka kwenye mishe muwe mnatupokea kwa tabasamu la bashasha, mtukumbatie, mtufanyie massage ili akili zitulie.
Unataka hayo mambo je ulimtengeneza mkeo ili kuhudumie hivyo maana muda mwingine tutawalaumu wanawake ila kinyago chako kichonge mwenyewe ww ndio unajua furaha yako inahitaji nini itimie
 
Unataka hayo mambo je ulimtengeneza mkeo ili kuhudumie hivyo maana muda mwingine tutawalaumu wanawake ila kinyago chako kichonge mwenyewe ww ndio unajua furaha yako inahitaji nini itimie
Ewaaaaaa
 
Unataka hayo mambo je ulimtengeneza mkeo ili kuhudumie hivyo maana muda mwingine tutawalaumu wanawake ila kinyago chako kichonge mwenyewe ww ndio unajua furaha yako inahitaji nini itimie
Ni miongoni mwa majukumu yao mume anatakiwa alelewe na mke wake ni mtoto mkubwa wa mke mkiwatoa watoto wenu
 
Back
Top Bottom