Hivi hii hali ni kutaka tu wenyewe au kujisahau?

Hivi hii hali ni kutaka tu wenyewe au kujisahau?

😳Uongoo
Lazma ukatae ila walioko kwenye ndoa wanajua. Ninyi mkiisha olewa huwa mnajisahau manahisi kumpeti peti bwana na kumkarim anapotoka kwenye miangaiko ni umalaya.

Chunguza wanandoa wengi huwa wanapokeana kwa kuambiana "umekuja?" Hapo hakuna kumbatio, hakuna kiss za kuondoa uchovu zaid atakutengea maji ya kuoga na chakula , ila nenda kwa mchepuko sasa 😂😂😂😂
 
Lazma ukatae ila walioko kwenye ndoa wanajua. Ninyi mkiisha olewa huwa mnajisahau manahisi kumpeti peti bwana na kumkarim anapotoka kwenye miangaiko ni umalaya.

Chunguza wanandoa wengi huwa wanapokeana kwa kuambiana "umekuja?" Hapo hakuna kumbatio, hakuna kiss za kuondoa uchovu zaid atakutengea maji ya kuoga na chakula , ila nenda kwa mchepuko sasa 😂😂😂😂
Kumbe🤣🤣🤣
 
Lazma ukatae ila walioko kwenye ndoa wanajua. Ninyi mkiisha olewa huwa mnajisahau manahisi kumpeti peti bwana na kumkarim anapotoka kwenye miangaiko ni umalaya.

Chunguza wanandoa wengi huwa wanapokeana kwa kuambiana "umekuja?" Hapo hakuna kumbatio, hakuna kiss za kuondoa uchovu zaid atakutengea maji ya kuoga na chakula , ila nenda kwa mchepuko sasa 😂😂😂😂
Mnavyosema tukiolewa tunajisahau unadhani nyie huwa hamjisahau?
Ni hali ya kawaida mkishazoeana haitakuwa kama mwanzo hata sisi tukienda kwa michepuko tunakuwa treated vizuri.
 
Pesa nyingi anazo yeye sasa mimi kwanini nihangaike kumnunulia nguo? Labda nitake tu mwenyewe nikiona nguo nzuri nimchukulie.
Hela nyingi zipi anabaki nazo huyo huyo alipe ada, atoe kodi ya meza, alipe apartment, akupe ya salon, vicoba, bado haujamletea matatizo ya kwenu na ya familia yake

Wanawake acheni ubinafsi na uchoyo. Wanaume tunateseka sana
 
Hela nyingi zipi anabaki nazo huyo huyo alipe ada, atoe kodi ya meza, alipe apartment, akupe ya salon, vicoba, bado haujamletea matatizo ya kwenu na ya familia yake

Wanawake acheni ubinafsi na uchoyo. Wanaume tunateseka sana
Sasa mimi natoa wapi pesa ya kumnunulia yeye nguo kama ya kujinunulia nguo zangu na ya salon ananipa yeye?
Au mimi sijaelewa
 
Ni miongoni mwa majukumu yao mume anatakiwa alelewe na mke wake ni mtoto mkubwa wa mke mkiwatoa watoto wenu
Sijakataa kabisa ila umemuandaa yeye kukutimizia hayo je ww unampa furaha jebunatimiza mahitaji nyumbani? Unajua sisi wanaume tunachanganywa na utafutaji muda mwingine tunajisahau unaweza ukaon unaleta hela za msosi na mambo mambo nyumbani ila yapo mengi y akufanya ili ukirudi ukute mambo moto moto kikubwa cha kwanza ni kumueleza nini unapenda na kumuwekea mazingira. Mfano ukitoka kwenye shughuli zako unahitaji ukute umeandaliwa maji uoge upate chai kidogo ufanyiwe masaji ya hapa na pale mkae mkiongea mambo yenu na kamuvi ka kusindikiza chakula kiwe tayari haya mambo yanahitaji kwanza muda pili uwe mtoa taarifa huwez kuta hayo maandalizi kama ww ni mtu wa kufika home kama unafanya uvamizi toa taarifa mke wangu ndio narudi naomba niandalie maji kachai na ujiandae kunimasaji ukifanya hivyo nakuhakikishia ukirudi lazima ukute mambo sawa na pia ukitaka mambo mazuri wekeza kwenye vizuri.
 
Hela nyingi zipi anabaki nazo huyo huyo alipe ada, atoe kodi ya meza, alipe apartment, akupe ya salon, vicoba, bado haujamletea matatizo ya kwenu na ya familia yake

Wanawake acheni ubinafsi na uchoyo. Wanaume tunateseka sana
😂😂😂😂😳
 
Sasa mimi natoa wapi pesa ya kumnunulia yeye nguo kama ya kujinunulia nguo zangu na ya salon ananipa yeye?
Au mimi sijaelewa
Kwani wewe kwenye mishe zako si unaingiza pesa mnunulie zawadi.

Halafu wanaume huwa tunajihisi fahari sana wapenzi wetu wakitupa zawadi. Tunajivunia na huwa tunawasifu mbele za wanaume wenzetu.
 
Hela nyingi zipi anabaki nazo huyo huyo alipe ada, atoe kodi ya meza, alipe apartment, akupe ya salon, vicoba, bado haujamletea matatizo ya kwenu na ya familia yake

Wanawake acheni ubinafsi na uchoyo. Wanaume tunateseka sana
Unaongea kwa kulalamika as if mnaonewa. Uliyoyataja hapo yote ni majukumu ya mume sasa unataka nani afanye?

Basi mimi nimegundua kwamba nina bonge ya mume maana hajawahi kulalamika anafanya yote na hataki mi nifanye kazi huwa nafanya kwa kulazimisha.
Ukiwa mume huwezi kukwepa majukumu kama hayo. Ubinafsi upi ambao tunao?
Wewe rafiki yangu sijui unawaokota wapi wanawake wa ajabu ajabu😅😅
 
Back
Top Bottom