Hivi hii hali ni kutaka tu wenyewe au kujisahau?

Hivi hii hali ni kutaka tu wenyewe au kujisahau?

Mimi niliwai kua na mpenzi na nilimpemda sana kiasi kwamba nilimtreat kama mke haswa.... Yani nilipo kuja kuachwa

Niligundua kuwa nilikua na hangaika kutafuta hela na kutoa matunzo ila nilijisahau mimi na nilisahau kuishi kabisa


Sasa hivi na muda nipo single nimeanza upya na nimesonga mbele sana mpaka najishtukizia inawezekana vipi japo na mpango wa kuoa sasa maana kukaa bila mke naona siwezi kabisa

Ila sasa hivi na akili sana

Mikakati yangu

Kujipenda mwenyewe, kupiga kazi kwa bidii, kupenda wanangu, na kumpenda mke ( ila nitafanya juu chini asinielewe cz hawa ni wabinafai sana aisee)
 
Mark Zuckerberg anamiliki Facebook na instagram lakini yeye aliamua awe ananunua na kuvaa t-shirt za aina moja kila siku ili asubuhi asipoteze muda mwingi kuchagua nguo ya kuvaa, kwhyo kila siku anaonekana hajabadilisha t-shirt had watu wamemkariri ila hajali ye anaangalia mambo yake muhimu.

Wanaume wengi tunakuaga hivyo mwenye nguo nyingi ana shati/t-shirt 4, suruali 4, na viatu pea 3, unachotakiwa kuzingatia ni rangi ya nguo tu usipende nguo zinazo waka sana ukawa unaonekana kwa mbali Kama demu, shati 1 isipochafuka unavaa leo na kesho yaani siku mbili hapo maana yake wiki nzima inaisha hujaonekana na nguo moja mara nyingi

Kiatu kisipochafuka Kama we ni sharobaro unavaa siku 3 Kama ni mgumu mwenzetu unavaa wiki 1, ukirudi pale kwenye nguo kila ukibadilisha unafua usirundike nguo ndani, alaf wiki inayokuja unabadilisha suruali uliyo ivalia t-shirt flan wiki iliyopita unaibadilishia t-shirt, yaani hapo unamaliza mwaka mmoja hakuna anae kukariri kwa mavazi.

Mwanaume kuwa na nguo nyingi sana ni dalili ya kuleft group
Aisee shati kuvaliwa zaidi ya mara moja ? Na hilo joto jasho vipi? Ukiwa na mkeo sidhani kama atakuacha uvae kwa kurudia nguo, anatakiwa kukuandalia nguo za week nzima bana. Wanaume mnajidai wagumu hadi kwenye nguo eti bila hivo ni dalili ya kuleft group, yaani kuwa nadhifu ni kuleft group aah😀
 
Ni kweli ulichosema.

Ila wakati mwingine tunajisacrifice sana kwa ajili ya mke na watoto mpaka tunajisahau

Sasa hapa ndipo mke mwema atafanya juu chini ili mume naye asijisahau
Hakuna ambaye hajisacrifice kwaajili ya mwenzake, ni vile tu majukumu ni tofauti.

Nyie mke akijisahau mnaenda kutafuta mwanamke mwingine ila nyie mkijisahau mnataka mke mwema afanye juu chini ili kukuweka sawa.
Woi am tired with you guys.
 
Ni maboya. Mwanaume kamili hageuzwi msukule na wala hapelekeshwi na mwanamke.
Cha muhimu kataa Ndoa ili uishi vizuri ,

Unachomwa na jua ili kumuhudumia Mwanamke ambaye Hana anachokusaidia zaidi ya Sehemu yake chafu ya mkojo huku ukikupa msongo wa mawazo na kuua uchumi wako kataa Ndoa.
 
Cha muhimu kataa Ndoa ili uishi vizuri ,

Unachomwa na jua ili kumuhudumia Mwanamke ambaye Hana anachokusaidia zaidi ya Sehemu yake chafu ya mkojo huku ukikupa msongo wa mawazo na kuua uchumi wako kataa Ndoa.
Wewe endelea kukataa..wenzio wanaendelea kutuoa. Maisha ni kuchagua uzuri ni kwamba hakuna kupangiana.
 
Msipojiongeza the days to come mtashuka zaidi maana kizazi hiki Cha leo kinajitambua Sana.
Ni nadra sana siku hizi kukuta mwanamke analalamika...hata hapa jf nyuzi nyingi ni mwanaume analia. Sasa hapo jibu unalo nani anateseka zaidi.

Wanawake wamekuwa sugu, maisha yanaenda vizuri. Ni suala la muda mtazoea..poleni
 
Back
Top Bottom