Hivi hii hali ni kutaka tu wenyewe au kujisahau?

Hivi hii hali ni kutaka tu wenyewe au kujisahau?

Sababu mojawapo ya mwanaume kuchepuka mnasema ni mke kujisahau, kubweteka. Labda habituation vizuri au anastasia kwenye majukumu yake.
Mnaenda nje kujipooza.

Ila mume akijisahau mnataka mke mwema asimame kumuweka sawa.
Ndio tunataka msibweteke nataka mke awe na moto uleule kama enzi za uchumba au ndoa ilipokuwa mpya

Hapo ndo mnapofeli. Jitunze jiweke katika mwonekano mzuri wa kuvutia kupelekewa moto
 
Hivi sijajua kwa nini wanawake mnakuwa wakali sana tukisema hatuoi.

Yaani tusioataka kuoa mnatuchukia sana

Shida ni nini kwani?
Hakuna anayekuwa mkali rafiki yangu. Wewe ndo umesema huoi lakini wengine wanaoa. Na pia wapo wanawake wanaokataa ndoa.

Na wala hatuwachukii kwasababu ndoa sio kwa kila mtu, ni kipaji ujue.
 
Ni nadra sana siku hizi kukuta mwanamke analalamika...hata hapa jf nyuzi nyingi ni mwanaume analia. Sasa hapo jibu unalo nani anateseka zaidi.

Wanawake wamekuwa sugu, maisha yanaenda vizuri. Ni suala la muda mtazoea..poleni
Jf wanawake wa hapa ni watu wa makamu Sana , na wengi ni single mothers ndoa zimewashinda miaka miaka Mingi na unaweza kuangalia hata umri wako hukosi 40+
 
Ni nadra sana siku hizi kukuta mwanamke analalamika...hata hapa jf nyuzi nyingi ni mwanaume analia. Sasa hapo jibu unalo nani anateseka zaidi.

Wanawake wamekuwa sugu, maisha yanaenda vizuri. Ni suala la muda mtazoea..poleni
Ukatili wenu umepitiliza mpaka nafsi haziwasuti sasa
 
Ndio tunataka msibweteke nataka mke awe na moto uleule kama enzi za uchumba au ndoa ilipokuwa mpya

Hapo ndo mnapofeli. Jitunze jiweke katika mwonekano mzuri wa kuvutia kupelekewa moto
Wewe ushindwe kuwa na moto ule ule utegemee yeye awe na moto ule ule inawezekana vipi?

Majukumu hufanya watu kubadilika sasa hapo akili yenu ndo itafanya msichokane. Kuna mambo ya kuspice up ndoa yenu, msipofanya lazima mboane tu.
 
Hivi hii hali ni kutaka tu au kujisahau? Yaan kitendo Cha mwanaume kuoa tu basi na kuvaa nguo Kwa kubadilisha kunaishia hapo full shati Moja au matatu, kazini, nyumbani na la kanisani.

Kumkuta mwanaume ameoa lakini kavaa kiatu Cha ngozi kimeachama kidogo ni kawaida sana.

Mtazame mkewe sasa, mpaka nguo zingine inabidi atupe tu maana ni Kila Leo kushona mpya, hakuna sherehe haimpiti kushonea nguo. Tuwe tunakumbuka hata kuwashonea au kuwanunulia mashati waume zetu wamama wenzangu, yaani kilekile kidogo anachokupea upendeze, kigawanyishe mpendeze wote labda kama wanataka wao wenyewe kuwa hivo.

Wababa, tunajua mnatingwa sana kututafutia lakini jikumbukeni pia tafadhali, mbaya sana kuonekana ulikuwa mnene sana kabla hujaoa mnawatukania wake zenu ivo kuwa hawawatunzi vyema.

Ndo hivo.
Kwa jina lingne wanaitwa kausha damu(wanawake kwenye ndoa)
 
Wewe ushindwe kuwa na moto ule ule utegemee yeye awe na moto ule ule inawezekana vipi?

Majukumu hufanya watu kubadilika sasa hapo akili yenu ndo itafanya msichokane. Kuna mambo ya kuspice up ndoa yenu, msipofanya lazima mboane tu.
Nimeexperience hii kitu mkishaolewa huwa mnabadilika sana mnakuwa sio watu wa shoo shooo tena

Na ndio mnachangia tuwe kimoja chali mnakuwa gogo tu ushirikiano zero
 
Nimeexperience hii kitu mkishaolewa huwa mnabadilika sana mnakuwa sio watu wa shoo shooo tena

Na ndio mnachangia tuwe kimoja chali mnakuwa gogo tu ushirikiano zero
Sho shoo zinatoka wapi nalea watoto na mambo mengine? Haitakuwa kama mwanzo hata wewe utabadilika lazima maana majukumu yatakuzidi...huwezi elewa hii kitu.
Tumia akili kuweka ndoa yako sawa na msisimko uwepo. Sio kazi ya mke peke yake na hapo ndo mnapofeli.
Ukikataa ndoa nakuelewa rafiki yangu...kuna mambo huyawezi. Wewe endelea na ubachela huko kwingine waachie wanaoweza na walio na akili ya kuongoza familia.
 
Ukikataa ndoa nakuelewa rafiki yangu...kuna mambo huyawezi. Wewe endelea na ubachela huko kwingine waachie wanaoweza na walio na akili ya kuongoza familia zao.
Kwa hiyo mimi sina akili ya kuongoza familia daaah! 😅😅😅
 
Akili ulizonazo ni za kuchakata mbusususu basi😅😅.
Huna mpango wa kuwa na familia na unaona kila kitu kwenye ndoa hakipo sawa means akili yako haikubali ndoa.
Na kweli nioe halafu mbususu nianze kupangiwa kupewa kama wanetu walio kwenye ndoa. Hapo ndoa itanishinda tu 🤣
 
Aisee shati kuvaliwa zaidi ya mara moja ? Na hilo joto jasho vipi? Ukiwa na mkeo sidhani kama atakuacha uvae kwa kurudia nguo, anatakiwa kukuandalia nguo za week nzima bana. Wanaume mnajidai wagumu hadi kwenye nguo eti bila hivo ni dalili ya kuleft group, yaani kuwa nadhifu ni kuleft group aah😀
Ni wanawake tu ndo huwa wanalazimisha wanaume tuvae nguo moja siku moja lakin sisi wenyewe wala hata hatupendi angalau kuvaa siku mbili ndo tunaona raha
 
Back
Top Bottom