Hivi hii hali ni kutaka tu wenyewe au kujisahau?

Hivi hii hali ni kutaka tu wenyewe au kujisahau?

Hahaha..
Bi dada anakaba kooote!

Si wanasemaga kuna kitu wanaita Limbuata?!
Kuna vitu sababu mi sijafanya inaniwia vigumu sana kuvisemea, Mi nachojua kuna watu wanapenda na akipenda anakuwa selfless sasa wenzi wao wanaitumia hii kwa faida yao. Kuna vitu mwanamume akikufanyia au kukukubalia inakuwa ni namna ya kusema nakupenda na nakuthamini, sababu anaweza asifanye na wala hawezi shitakiwa na Jamhuri!

Look, when i was a young girl nilidate huyo kaka alikua ananielewa sana, tulikuwa tunakaa mikoa tofauti, so nikimtembelea nakaa muda, ikifika muda wa kuondoka, labda mi naondoka na gari ya saa 4 ila yeye asubuhi saa moja anatakiwa aondoke aende job, na hawezi kurudi kunisindikiza, unajua mambo ya Dar tena, chakufanya kama anacash ananiachia kama hana ananiachia kadi yake ambayo alikuwa anaweka akiba zake humo, anakwambia utalipa nauli, utanunua vya kununua, utachukua poketi money halafu kadi utaenda nayo ntaichukua next time (coz haihitaji kukaa nayo muda wote)

Hakuna kitendo nilikuwa sipendi kama hicho, sababu kwa uoga wangu itanifanya nijilimit sana katika kutoa pesa, na pengine nisitumie kama ambavyo ningepewa naye ningetumia kwa raha na uhuru, halafu nilikua naona tu nimtego kwani si angenitumia inamaana yeye anakosa muda wa kwenda ATM akiwa on his way to job, enzi hizo mambo ya simu banking yalikuwa sio uhakika sana unaweza tumiwa hela sa hivi ikafika kesho, understandably! Nikionana nae tu ilikuwa lazima nimrudishie kadi yake hata kama hajaiomba, na wala haiombi na atakuuliza kwanini unairudisha, Ilikuwa nikiwa na kadi yake nikipata shida nikatoa pesa napiga simu kujieleza kama mshitakiwa 😂 I guess somethings goes with malezi na hulka.
 
Kuna nguvu ipo inayofanya hayo yote yawezekane nadhani ni miongoni mwa limbwata. Huwa nasema nirogwe kwenye mengineyo ila sio mapenzi maana huwa unafanya kazi haraka na kwa ufanisi mkubwa mno. Kuna ndugu yangu ni mkorofi sana ila kwa mkewe hana kauli atapika, atafua, kazi zote yeye na kugombezwa juu. Mshahara karibia wote anaacha kwa mke, ndugu washamshauri wakachoka lile ni limbwata grade A kabisa.
Aisee noma sana, Kama ni makubaliano yao ni sawa, ila kama ni vinginevyo basi ni msiba mzito sana 😂

Na hayo ni makubaliano gani ya kijinga hivyo!
 
Hivi hii hali ni kutaka tu au kujisahau? Yaan kitendo Cha mwanaume kuoa tu basi na kuvaa nguo Kwa kubadilisha kunaishia hapo full shati Moja au matatu, kazini, nyumbani na la kanisani.

Kumkuta mwanaume ameoa lakini kavaa kiatu Cha ngozi kimeachama kidogo ni kawaida sana.

Mtazame mkewe sasa, mpaka nguo zingine inabidi atupe tu maana ni Kila Leo kushona mpya, hakuna sherehe haimpiti kushonea nguo. Tuwe tunakumbuka hata kuwashonea au kuwanunulia mashati waume zetu wamama wenzangu, yaani kilekile kidogo anachokupea upendeze, kigawanyishe mpendeze wote labda kama wanataka wao wenyewe kuwa hivo.

Wababa, tunajua mnatingwa sana kututafutia lakini jikumbukeni pia tafadhali, mbaya sana kuonekana ulikuwa mnene sana kabla hujaoa mnawatukania wake zenu ivo kuwa hawawatunzi vyema.

Ndo hivo.
Ni majuzi tu hapa ndo nimegundua nina suruali tatu na shati mbili na tisheti tatu mwaka wa tatu huu.

Dah
Labda tukishaoa tunasahau kuwa na sisi tunapaswa kuishi. Lakini kusaka hela ya kulipia tozo kisha familia ifuate ni mziki unaotafuna akili
 
Ni majuzi tu hapa ndo nimegundua nina suruali tatu na shati mbili na tisheti tatu mwaka wa tatu huu.

Dah
Labda tukishaoa tunasahau kuwa na sisi tunapaswa kuishi. Lakini kusaka hela ya kulipia tozo kisha familia ifuate ni mziki unaotafuna akili
Kipindi kingine ambacho wanaume tunajinyima na tunajisahau ni wakati wa ujenzi wa mjengo
 
Aisee noma sana, Kama ni makubaliano yao ni sawa, ila kama ni vinginevyo basi ni msiba mzito sana 😂

Na hayo ni makubaliano gani ya kijinga hivyo!
Hakuna makubaliano hapo, hiyo ni utaki utafanya unataka utafanya. Alafu alizaa na dada mmoja mstaarabu akamuacha kisa hana elimu akakimbilia kuoa degree holder kweli karma ipo na inafanya kazi.
 
Hivi hii hali ni kutaka tu au kujisahau? Yaan kitendo Cha mwanaume kuoa tu basi na kuvaa nguo Kwa kubadilisha kunaishia hapo full shati Moja au matatu, kazini, nyumbani na la kanisani.

Kumkuta mwanaume ameoa lakini kavaa kiatu Cha ngozi kimeachama kidogo ni kawaida sana.

Mtazame mkewe sasa, mpaka nguo zingine inabidi atupe tu maana ni Kila Leo kushona mpya, hakuna sherehe haimpiti kushonea nguo. Tuwe tunakumbuka hata kuwashonea au kuwanunulia mashati waume zetu wamama wenzangu, yaani kilekile kidogo anachokupea upendeze, kigawanyishe mpendeze wote labda kama wanataka wao wenyewe kuwa hivo.

Wababa, tunajua mnatingwa sana kututafutia lakini jikumbukeni pia tafadhali, mbaya sana kuonekana ulikuwa mnene sana kabla hujaoa mnawatukania wake zenu ivo kuwa hawawatunzi vyema.

Ndo hivo.
Ni huyo wa kwako tu ndo habadilishi.
Kumbe ndivyo alivyo shemeji yetu?🙆🙆🙆
Wanawake bhana sijui mnataka nini!!!
Msaidie atabadilika.
 
Ni majuzi tu hapa ndo nimegundua nina suruali tatu na shati mbili na tisheti tatu mwaka wa tatu huu.

Dah
Labda tukishaoa tunasahau kuwa na sisi tunapaswa kuishi. Lakini kusaka hela ya kulipia tozo kisha familia ifuate ni mziki unaotafuna akili
Pole mkuu🤣🤣😜
 
.......hasa ukishusha mzigo wa bati afu kesho yake unakuta vipande vya kutosha chini, halafu fundi anakwambia zinahitajika zingine 20.....
Sio poa unaweza kupanda juu ya paa uhakiki na fundi bati zilizotumika kama ni sawa. Huku dogo anadaiwa ada. Wanaume tumeumbwa mateso aisee
 
Dada, Watasema naongea nionekane....lakini kiukweli mwanamke akiolewa tu anakuwa adui Kwa mume we na familia yake....kujitawala as if yeye ndo kaoa mwanaume.Wanaume hawasemi tu lakini wananyanyasika sana
Ujengewe sanamu pale makutano ya fire na kkoo
 
Back
Top Bottom