Hivi hii hali ni kutaka tu wenyewe au kujisahau?

Ndo umenistua kesho mungu akipenda kariakoo na sinza zitanijua, full shopping ya kujipendelea halafu nikirudi natulia tuliii!! Nione reaction, akinisemesha tu namuonesha huu uzi na kufungua kabati lake at once .
Yani shopping ya kesho ni full mimi.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Tulia tulia tafadhali..... tatizo tuna tamaa mkuu
 
Shangazi yangu alishamuachanisha mwanae na mke kupe. Yaani binamu yangu mpaka sasa anamshukuru mama yake.
 
Ukisubiria ukulbukwe na ke utachina. Jipende mwenyewe kwanza. Wanaume wengi smart hata siku moja hawategemei wanawake , akiona kitu anakipenda anazama mfukoni ananunua. Wewe subiria mama yeyo, utaishia kuvaa mashati ya vitenge.
Mgawanyo wa majukumu kwenye ndoa unafanya automatically wanaume tubebe majukumu mazito ya maendeleo na ustawi wa jamii, chunguza nyumba nyingi wanufaika ni ndugu na upande wa mke.
Tunaamini kwa kuwa efforts za baba hazifichiki basi mke anaweza ku take control kwa yale ambayo baba hayawezi kirahisi, kumbe wenzetu ni selfish balaa.
 
Nilitaka ni post nilivyo tupilia Leo wife Huwa ni designer...πŸ€“πŸ€“πŸ˜ŠπŸ˜Š
Na miwani yangu ya ki DR. nimekaa pale...
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Dah aseeeh Kuna kipindi nilijisahau mpaka niliposhtuka nikawa najionea huruma.
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Dah aseeeh Kuna kipindi nilijisahau mpaka niliposhtuka nikawa najionea huruma.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Pole mkuu....shtuka watu watakushangaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…