Hivi hii harufu ya baadhi ya mitaa ya jijini Dar naisikia peke yangu tu?

Hivi hii harufu ya baadhi ya mitaa ya jijini Dar naisikia peke yangu tu?

Umefikia tandale kwa tumbo afu unahisi Dar yote ipo hapo,Pole sana,watu wa mikoani mnaumia sana na Dar,wewe msalimie shemej hapo,kaa hata wiki mbili utoe tongotongo mjini then rudi kwenu Ilyamchele kupiga jembe[emoji1787]
 
Baada ya kutambua hilo,umetema mate Mara ngapi??
Jitahidi kula limau ili usitapike
 
Nazoom location yako ni Dar es salaam ,utakuwa na wewe unanuka tena mnuko wa Kwa mpalange[emoji23][emoji23]
Screenshot_20210911-083501.jpg
 
Nazoom location yako ni Dar es salaam utakuwa na wewe unanuka tena mnuko wa Kwa mpalange [emoji23]
Screenshot_20210911-083501.jpg
 
Nazoom location yako ni Dar es salaam ,utakuwa na wewe unanuka tena mnuko wa Kwa mpalange[emoji23][emoji23]View attachment 1932958


Mkuu hapa DAR nitakaa wiki tatu tuu.

Hata hivyo najihisi sipo Sawa, nayaona mabadiliko makubwa kwangu, ni Kama ninanuka Fulani hivi.

Hakika Mmeniambukiza harufu zenu za hovyo.

Nikiondoka sirudi
 
Kwakweli hizi chemba na matanki ya vyoo waangalie namna ya kutengeneza vizuri maana yanatoa harufu kweli
Na wengine wametengenezewa na kina fundi maiko mtihan
 
Baada ya kutambua hilo,umetema mate Mara ngapi??
Jitahidi kula limau ili usitapike

Wageni wangu nilioandamana nao ndio wanatema mate, Mimi najikaza kisabuni.

Haya hivyo najihisi homa, Wataalamu wataeleza hapa ni Kwa namna gani harufu mbaya inaathiri saikolojia ya mtu
 
Kwakweli hizi chemba na matanki ya vyoo waangalie namna ya kutengeneza vizuri maana yanatoa harufu kweli
Na wengine wametengenezewa na kina fundi maiko mtihan


Sio mchezo, Bora wenye usafiri binafsi Kwa hawa WALIA NA MUNGU ndio taabu ya Yusufu wanaipata
 
Umefikia tandale kwa tumbo afu unahisi Dar yote ipo hapo,Pole sana,watu wa mikoani mnaumia sana na Dar,wewe msalimie shemej hapo,kaa hata wiki mbili utoe tongotongo mjini then rudi kwenu Ilyamchele kupiga jembe[emoji1787]

Sawa Bhana mtu wa DAR. Wewe si ndiye Shemeji YANGU wa Tandale.

Jaribuni kuwa wasafi hata kidogo.

Vijana wadogo mmeathirika kisaikolojia kisa harufu za Chemba za maji taka.

Pumbavu
 
Sawa Bhana mtu wa DAR. Wewe si ndiye Shemeji YANGU wa Tandale.

Jaribuni kuwa wasafi hata kidogo.

Vijana wadogo mmeathirika kisaikolojia kisa harufu za Chemba za maji taka.

Pumbavu
Kwanza 100% huijui Dar na viunga vyake,inaelekea unawadanganya sana wananzengo huko Ilyamchele,maeneo unayosema yananuka ni Uswahilini,Dampo,Mabwawa ya Maji Taka na Soko la Ferry(sababu ya shombo ya samaki)
Kwingineko ni harufu za marashi na misosi adimu ndio hutamalaki mtaani,
 
Ni kweli Dar ilikuwa hainuki hivi miaka michache iliyopita, nadhani baada ya ujenzi wa miundombinu, kuna vitu havijakaa sawa. Barabara ya kutoka Makumbusho hadi Mwenge hiyo harufu inasikika dhahiri, nahisi ni ule mtaro uliojengwa pembeni ya barabara hiyo
Ni jana tu hii harufu imenitesa sana hili eneo la mwenge pananuka sana!
 
Kwanza 100% huijui Dar na viunga vyake,inaelekea unawadanganya sana wananzengo huko Ilyamchele,maeneo unayosema yananuka ni Uswahilini,Dampo,Mabwawa ya Maji Taka na Soko la Ferry(sababu ya shombo ya samaki)
Kwingineko ni harufu za marashi na misosi adimu ndio hutamalaki mtaani,

Sijawahi ishi uswahili tangu nazaliwa, huko naendaga kufanya utalii kuona masikini wanavyoishi Kwa dhiki na taabu.

Ninachojua DAR 80% ni uswahilini.
5% ni Kwa kishua
5% Maofisi makubwa na apartment hasa magorofa yaliyopo Posta, mnazi mmoja, Kariakoo, Upanga n.k
10% wanakaa Madongo kuinama huko, ndio Bunju, mbweni, Mabwepande, Kibamba, Mbezi, Majohe, Chanika, Mwembe mtengu, Kongowe, twangoma, Mbande, Kijichi n.k

Hiyo DAR nisiyoijua ni ipi?

Maana Sisi ni Wale tunaokaa Mikocheni, Osterbay, Masaki, Msasani, Mbezi beach ndio ndugu zetu, Achana na wahindi wa Kariakoo, upanga, Namanga, Muhimbili n.k.

Au unadhani nimefikia Kwa wasakatonge??

🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom