Habari.
Mi mwenzenu sijui nikoje haya maimani ya ajabu ajabu yananipa shida sana huku duniani yaani huwa hata siwazagi haya mambo.
Sàsa mimi nina ela yangu msimbazi safi nahitaji kitu kwenye duka chenji hana na mimi kutembea na hela ndogo ndogo siwezi namwambia mwenye duka nasi nipe bidhaa takuletea badae hela anasema siwezi kukupa bado sijauza biashara itadoda.
Hebu wajuzi mje mtujuze hii formula ya biashara ni kweli inafanya kazi hawa wenzetu wa maduka.??!
Mi mwenzenu sijui nikoje haya maimani ya ajabu ajabu yananipa shida sana huku duniani yaani huwa hata siwazagi haya mambo.
Sàsa mimi nina ela yangu msimbazi safi nahitaji kitu kwenye duka chenji hana na mimi kutembea na hela ndogo ndogo siwezi namwambia mwenye duka nasi nipe bidhaa takuletea badae hela anasema siwezi kukupa bado sijauza biashara itadoda.
Hebu wajuzi mje mtujuze hii formula ya biashara ni kweli inafanya kazi hawa wenzetu wa maduka.??!