Hivi hii katiba ya sasa ya mwaka 1977 inamlinda Rais Samia kukaa madarakani? Kwanini CCM hawataki Katiba Mpya?

Hivi hii katiba ya sasa ya mwaka 1977 inamlinda Rais Samia kukaa madarakani? Kwanini CCM hawataki Katiba Mpya?

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Hivi kwanini tusipate katiba mpya ambayo itaondoa kelele na malalamiko?

Katiba ambayo itaruhusu ucahguzi wa rais kurudiwa kama kuna wizi wa kura. Katiba ambayo itaruhusu wananchi kuvunja serikali ambayo haiwatumikii inavyotakiwa?

Kwanini watawala wa CCM hawataki katiba mpya na huku rasimu ipo tayari ni kufinalize tu?
 
Kwani hiyo 1977 ni zamani sana ??

Kuna nchi wana katiba za mwaka 1870 huko na ina maendeleo na demkrasia kubwa kuliko sisi.

Kama unadhani mwaka ni tatizo inapokuja ishu ya katiba.
 
Hivi kwa nini tusipate katiba mpya ambayo itaondoa kelele na malalamiko?

Katiba ambayo itaruhusu ucahguzi wa rais kurudiwa kama kuna wizi wa kura. Katiba ambayo itaruhusu wananchi kuvunja serikali ambayo haiwatumikii inavyotakiwa?

Kwa nini watawala wa CcM hawataki katiba mpya na huku rasimu ipo tayari ni kufinalize tu?
Tatizo wanasiasa wanataka katiba mpya kwa maslahi yao binafsi. Hiyo hoja kwamba mkiwa hamna imani na Rais/mbunge mnamtoa madarakani ingeleta shida mno. Watu wangeleteana fitna za hatari na nchi isingetawalika. Shukrani kwa CCM kuitupilia mbali rasimu ya Warioba.
 
Kwani hiyo 1977 ni zamani sana ??

Kuna nchi wana katiba za mwaka 1870 huko na ina maendeleo na demkrasia kubwa kuliko sisi.

Kama unadhani mwaka ni tatizo inapokuja ishu ya katiba.
Ishu sio muda kaka, ishu ni katiba yenyewe.
 
Hivi kwanini tusipate katiba mpya ambayo itaondoa kelele na malalamiko?

Katiba ambayo itaruhusu ucahguzi wa rais kurudiwa kama kuna wizi wa kura. Katiba ambayo itaruhusu wananchi kuvunja serikali ambayo haiwatumikii inavyotakiwa?

Kwanini watawala wa CCM hawataki katiba mpya na huku rasimu ipo tayari ni kufinalize tu?
Umeuliza vizuri Sana ...... Ila ili uyaelewe mengi yanayohusu katiba na dhana ya uwepo wa katiba , pamoja na nguvu iliopo katika katiba kwa upana wake inakubidi uisome na utafute kuijua kwanza KATIBA YENYEWE itakusaidia kuelewa kwa Nini swala hili linahitaji utulivu na umakini mkubwa kulifanyia kazi
 
Kwani hiyo 1977 ni zamani sana ??

Kuna nchi wana katiba za mwaka 1870 huko na ina maendeleo na demkrasia kubwa kuliko sisi.

Kama unadhani mwaka ni tatizo inapokuja ishu ya katiba.
Upo sahihi kabisaa... ila hio ya 1870s waliiandaa raia... hii ya 1977 haikupitishwa na sisi
 
Hivi kwanini tusipate katiba mpya ambayo itaondoa kelele na malalamiko?

Katiba ambayo itaruhusu ucahguzi wa rais kurudiwa kama kuna wizi wa kura. Katiba ambayo itaruhusu wananchi kuvunja serikali ambayo haiwatumikii inavyotakiwa?

Kwanini watawala wa CCM hawataki katiba mpya na huku rasimu ipo tayari ni kufinalize tu?
Hawataki Katiba Mpya kwani Katiba iliyopo inawabeba wao
 
Hivi kwanini tusipate katiba mpya ambayo itaondoa kelele na malalamiko?

Katiba ambayo itaruhusu ucahguzi wa rais kurudiwa kama kuna wizi wa kura. Katiba ambayo itaruhusu wananchi kuvunja serikali ambayo haiwatumikii inavyotakiwa?

Kwanini watawala wa CCM hawataki katiba mpya na huku rasimu ipo tayari ni kufinalize tu?
tena watuulize tunataka rasimu ya warioba au ile ya ccm? Nakama sisi watanzania wa kwenye mitandao ndotunataka katiba mpya wasitubeze idadi yetu inaweza kuwa mara2 ya idadi yakura alizopata ccm kuunda serikali, tupaze sauti mpaka watupe katiba ya watanzania
 
Kwanza ipigwe kura ya wanaotaka katiba mpya au wanaotaka ya zamani kabla ya kuendelea na uharibifu wa fedha za Umma kukusanya magenge Dodoma kufanya fujo kama ilivyokuwa 2014


Tume ya Warioba ilihoji watu elf 44 pekee kwny Taifa la watu million 60
 
Zoezi la sensa liunganishwe na swali/maswali ya maoni ya Katiba. Swali unataka Katiba Mpya ndio/Hapana. Toa sababu ya jibu lako.
 
Back
Top Bottom