Hivi hii ni hali ya kawaida au nina tatizo?

Hivi hii ni hali ya kawaida au nina tatizo?

kama huna kazi inayokuweka busy lazima hali hii iendelee...tafuta kazi au jambo linalo kuweka busy
 
Kama uko kati ya 20-30 ni kipindi kitapita kuna michakato inayoendelea mwilini mwako na mwili hautaki disturbance ya aina yoyote
Usijaribu kuzuia hiyo hali iache itapita yenyewe
asante kwa ushauri wako mkuu.
 
matokeo yako ya form six umepata division ngapi?
 
Hello JF MMU members?

Jamani nahisi nina tatizo la kisaikolojia linanisumbua na ninaomba kushauriwa nini cha kufanya wakuu siku za hivi karibuni nimejikuta kwanza napenda kukaa mwenyewe mwenyewe tu, hata ndugu zangu wa karibu siwezi kukaa nao tukaongea zaidi ya dakika 5, nitajikuta nimeingia zangu chumbani au nitajikuta naendelea na shughuli zangu tu, alafu sipendi kuulizwa ulizwa maswali na watu naona kama wananikera tu na maswali yao.

Nilikua muongeaji sana na very charming but siku hizi story na watu wala mzaha mzaha sina tena naonekana kama niko serious sana au sijui wengine wanasema nimekua mkali sana.yani kwa kifupi i dont care bout people anymore tukija kwenye mahusiano ya kimapenzi ndo balaa sasa, sina hisia zozote zile za kimapenzi kabisa na mtu yeyote.

Siku mbili tatu nyuma nilikua na mtu wangu but nimemwambia tu anipe relief kwanza maana nilikua sihisi chochote kwake, nikaona nisimpotezee muda bora nimwambie ili kila mtu ashike hamsini zake.

Wakuu hiyo ndio hali halisi inayonikumba kwa sasa, tatizo langu sielewi ni nini maana i have peace of mind maana kama ni familia yetu haina mgogoro wowote wa kifamilia, kazi ninayofanya ni ya kawaida tu ingawa sio permanent but inanilipa vizuri tu.Naomba mnishauri wakuu namna ya kuondokana na hii hali maana nimepoteza idadi kubwa ya marafiki so far.
 
[QUOTE="Johede, post: 16933201,
Kuna kitu kinakusumbua ila bado hujakijua jaribu kukaa na kutafakari then utajua
 
Hello JF MMU members?

Jamani nahisi nina tatizo la kisaikolojia linanisumbua na ninaomba kushauriwa nini cha kufanya wakuu siku za hivi karibuni nimejikuta kwanza napenda kukaa mwenyewe mwenyewe tu, hata ndugu zangu wa karibu siwezi kukaa nao tukaongea zaidi ya dakika 5, nitajikuta nimeingia zangu chumbani au nitajikuta naendelea na shughuli zangu tu, alafu sipendi kuulizwa ulizwa maswali na watu naona kama wananikera tu na maswali yao.

Nilikua muongeaji sana na very charming but siku hizi story na watu wala mzaha mzaha sina tena naonekana kama niko serious sana au sijui wengine wanasema nimekua mkali sana.yani kwa kifupi i dont care bout people anymore tukija kwenye mahusiano ya kimapenzi ndo balaa sasa, sina hisia zozote zile za kimapenzi kabisa na mtu yeyote.

Siku mbili tatu nyuma nilikua na mtu wangu but nimemwambia tu anipe relief kwanza maana nilikua sihisi chochote kwake, nikaona nisimpotezee muda bora nimwambie ili kila mtu ashike hamsini zake.

Wakuu hiyo ndio hali halisi inayonikumba kwa sasa, tatizo langu sielewi ni nini maana i have peace of mind maana kama ni familia yetu haina mgogoro wowote wa kifamilia, kazi ninayofanya ni ya kawaida tu ingawa sio permanent but inanilipa vizuri tu.Naomba mnishauri wakuu namna ya kuondokana na hii hali maana nimepoteza idadi kubwa ya marafiki so far.
unafanya sana kazi, unakuwa busy mno, jifunze kupumzika...weekend nenda mahali tulivu sana peke ako, kaa fikiria, nenda kwenye hotel yenye mazingira tulivu..cha msingi pata utulivu wa nafsi...ukiendelea ivo baadae yataanza kuja mawazo ya kujiua..get a peace of mind
 
Mkuu umeajiriwa au unakaz? Au umejiajiri mwenyewe?...mtu ukiwa msomi ukikosa shuhusi ya kukupatia kipato....lazima yatakutokea hayo....
Mapenz nayo huchangia.....
 
Hello JF MMU members?

Jamani nahisi nina tatizo la kisaikolojia linanisumbua na ninaomba kushauriwa nini cha kufanya wakuu siku za hivi karibuni nimejikuta kwanza napenda kukaa mwenyewe mwenyewe tu, hata ndugu zangu wa karibu siwezi kukaa nao tukaongea zaidi ya dakika 5, nitajikuta nimeingia zangu chumbani au nitajikuta naendelea na shughuli zangu tu, alafu sipendi kuulizwa ulizwa maswali na watu naona kama wananikera tu na maswali yao.

Nilikua muongeaji sana na very charming but siku hizi story na watu wala mzaha mzaha sina tena naonekana kama niko serious sana au sijui wengine wanasema nimekua mkali sana.yani kwa kifupi i dont care bout people anymore tukija kwenye mahusiano ya kimapenzi ndo balaa sasa, sina hisia zozote zile za kimapenzi kabisa na mtu yeyote.

Siku mbili tatu nyuma nilikua na mtu wangu but nimemwambia tu anipe relief kwanza maana nilikua sihisi chochote kwake, nikaona nisimpotezee muda bora nimwambie ili kila mtu ashike hamsini zake.

Wakuu hiyo ndio hali halisi inayonikumba kwa sasa, tatizo langu sielewi ni nini maana i have peace of mind maana kama ni familia yetu haina mgogoro wowote wa kifamilia, kazi ninayofanya ni ya kawaida tu ingawa sio permanent but inanilipa vizuri tu.Naomba mnishauri wakuu namna ya kuondokana na hii hali maana nimepoteza idadi kubwa ya marafiki so far.
Tafuta mwanaume uwe unampa mzigo
 
Una tatizo tena limekuanza jana madhara unayaona leo..tena shukuru kulijua tatzo mapema maana ungefika kipindi ungefikiri ata kuua... Njia bora ni kujilazimisha uwe na furaha,tafta na uziondoe 7bu zinazokukwa pia kua busy na hiyo hali itaondoka taratibu na utakua poa sana...
 
Hamna bro, hapo lazima kuna kitu unakitaman San sana n maisha mazur na hauna uhakika na haujui utatumia njia gan kuyafikia that's why unakua hvy. Plus hal ya sasa ndo unazid kuumia kabs
 
unaonekana hujafanya mpenz mda mrefu au umeathirika na punyeto
 
Back
Top Bottom