Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliyeachana nae alikua anakupa furaha au ulikua uko mapenzini mradi uko na mpenzi 2nadaiwa na HESLB pekee.
Yawezekana hyo ikawa sababu pia. Mapenz yananguvu sanakwa mtazamo wangu naona kama ilikua kero tu mkuu.
Hello JF MMU members?
Jamani nahisi nina tatizo la kisaikolojia linanisumbua na ninaomba kushauriwa nini cha kufanya wakuu siku za hivi karibuni nimejikuta kwanza napenda kukaa mwenyewe mwenyewe tu, hata ndugu zangu wa karibu siwezi kukaa nao tukaongea zaidi ya dakika 5, nitajikuta nimeingia zangu chumbani au nitajikuta naendelea na shughuli zangu tu, alafu sipendi kuulizwa ulizwa maswali na watu naona kama wananikera tu na maswali yao.
Nilikua muongeaji sana na very charming but siku hizi story na watu wala mzaha mzaha sina tena naonekana kama niko serious sana au sijui wengine wanasema nimekua mkali sana.yani kwa kifupi i dont care bout people anymore tukija kwenye mahusiano ya kimapenzi ndo balaa sasa, sina hisia zozote zile za kimapenzi kabisa na mtu yeyote.
Siku mbili tatu nyuma nilikua na mtu wangu but nimemwambia tu anipe relief kwanza maana nilikua sihisi chochote kwake, nikaona nisimpotezee muda bora nimwambie ili kila mtu ashike hamsini zake.
Wakuu hiyo ndio hali halisi inayonikumba kwa sasa, tatizo langu sielewi ni nini maana i have peace of mind maana kama ni familia yetu haina mgogoro wowote wa kifamilia, kazi ninayofanya ni ya kawaida tu ingawa sio permanent but inanilipa vizuri tu.Naomba mnishauri wakuu namna ya kuondokana na hii hali maana nimepoteza idadi kubwa ya marafiki so far.
unafanya sana kazi, unakuwa busy mno, jifunze kupumzika...weekend nenda mahali tulivu sana peke ako, kaa fikiria, nenda kwenye hotel yenye mazingira tulivu..cha msingi pata utulivu wa nafsi...ukiendelea ivo baadae yataanza kuja mawazo ya kujiua..get a peace of mindHello JF MMU members?
Jamani nahisi nina tatizo la kisaikolojia linanisumbua na ninaomba kushauriwa nini cha kufanya wakuu siku za hivi karibuni nimejikuta kwanza napenda kukaa mwenyewe mwenyewe tu, hata ndugu zangu wa karibu siwezi kukaa nao tukaongea zaidi ya dakika 5, nitajikuta nimeingia zangu chumbani au nitajikuta naendelea na shughuli zangu tu, alafu sipendi kuulizwa ulizwa maswali na watu naona kama wananikera tu na maswali yao.
Nilikua muongeaji sana na very charming but siku hizi story na watu wala mzaha mzaha sina tena naonekana kama niko serious sana au sijui wengine wanasema nimekua mkali sana.yani kwa kifupi i dont care bout people anymore tukija kwenye mahusiano ya kimapenzi ndo balaa sasa, sina hisia zozote zile za kimapenzi kabisa na mtu yeyote.
Siku mbili tatu nyuma nilikua na mtu wangu but nimemwambia tu anipe relief kwanza maana nilikua sihisi chochote kwake, nikaona nisimpotezee muda bora nimwambie ili kila mtu ashike hamsini zake.
Wakuu hiyo ndio hali halisi inayonikumba kwa sasa, tatizo langu sielewi ni nini maana i have peace of mind maana kama ni familia yetu haina mgogoro wowote wa kifamilia, kazi ninayofanya ni ya kawaida tu ingawa sio permanent but inanilipa vizuri tu.Naomba mnishauri wakuu namna ya kuondokana na hii hali maana nimepoteza idadi kubwa ya marafiki so far.
Kivipi ni dalili za kifo ?Dalili za kifo
Tafuta mwanaume uwe unampa mzigoHello JF MMU members?
Jamani nahisi nina tatizo la kisaikolojia linanisumbua na ninaomba kushauriwa nini cha kufanya wakuu siku za hivi karibuni nimejikuta kwanza napenda kukaa mwenyewe mwenyewe tu, hata ndugu zangu wa karibu siwezi kukaa nao tukaongea zaidi ya dakika 5, nitajikuta nimeingia zangu chumbani au nitajikuta naendelea na shughuli zangu tu, alafu sipendi kuulizwa ulizwa maswali na watu naona kama wananikera tu na maswali yao.
Nilikua muongeaji sana na very charming but siku hizi story na watu wala mzaha mzaha sina tena naonekana kama niko serious sana au sijui wengine wanasema nimekua mkali sana.yani kwa kifupi i dont care bout people anymore tukija kwenye mahusiano ya kimapenzi ndo balaa sasa, sina hisia zozote zile za kimapenzi kabisa na mtu yeyote.
Siku mbili tatu nyuma nilikua na mtu wangu but nimemwambia tu anipe relief kwanza maana nilikua sihisi chochote kwake, nikaona nisimpotezee muda bora nimwambie ili kila mtu ashike hamsini zake.
Wakuu hiyo ndio hali halisi inayonikumba kwa sasa, tatizo langu sielewi ni nini maana i have peace of mind maana kama ni familia yetu haina mgogoro wowote wa kifamilia, kazi ninayofanya ni ya kawaida tu ingawa sio permanent but inanilipa vizuri tu.Naomba mnishauri wakuu namna ya kuondokana na hii hali maana nimepoteza idadi kubwa ya marafiki so far.