Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
Pole sana.Sasa iliyonitokea leo nahisi kuna shida mahali wakuu miaka 27 nakojoa kitandani daah tena ya leo kali nimeshituka usingizi daaah kujitazama kwenye godoro mkojo umetapakaa kwenye godoro na kwenye boxer kote kuna mikojo nikakaa kitandani na kuwaza kwanini hivi? Na why Mimi π¬π¬π¬
Wakuu mnisaidie hii ni hali ya kawaida? Na je nifanyeje kuepukana na hali hii ! Aiseee very painful ππππ
Huu uzi ungeuleta kwa I'd ya new member! Tunaanza kukudharau sana kikojozi!Sasa iliyonitokea leo nahisi kuna shida mahali wakuu miaka 27 nakojoa kitandani daah tena ya leo kali nimeshituka usingizi daaah kujitazama kwenye godoro mkojo umetapakaa kwenye godoro na kwenye boxer kote kuna mikojo nikakaa kitandani na kuwaza kwanini hivi? Na why Mimi π¬π¬π¬
Wakuu mnisaidie hii ni hali ya kawaida? Na je nifanyeje kuepukana na hali hii ! Aiseee very painful ππππ
AhahajHuu uzi ungeuleta kwa I'd ya new member! Tunaanza kukudharau sana kikojozi!
Mambo ya haibu hutakiwi kuyaleta kwa I'd inayokupa heshima! Ona sasa! Hivi kuna mdada atakubali aolewe na mwanaume kikojozi? Kilasiku kufua na kuanika godoro! Tena hilo kojo la mtu mzima lazima limloweshe na mke wake! Mnaamka nyote mnanuka mikojo! Mxiuuuuh!Ahahaj
Ahahaja acha tu mfundishe jinsi ya kuishi jfMambo ya haibu hutakiwi kuyaleta kwa I'd inayokupa heshima! Ona sasa! Hivi kuna mdada atakubali aolewe na mwanaume kikojozi? Kilasiku kufua na kuanika godoro! Tena hilo kojo la mtu mzima lazima limloweshe na mke wake! Mnaamka nyote mnanuka mikojo! Mxiuuuuh!
Kaka una tatizo kwakweli. Nenda kwa wataalam hospitalSasa iliyonitokea leo nahisi kuna shida mahali wakuu miaka 27 nakojoa kitandani daah tena ya leo kali nimeshituka usingizi daaah kujitazama kwenye godoro mkojo umetapakaa kwenye godoro na kwenye boxer kote kuna mikojo nikakaa kitandani na kuwaza kwanini hivi? Na why Mimi π¬π¬π¬
Wakuu mnisaidie hii ni hali ya kawaida? Na je nifanyeje kuepukana na hali hii ! Aiseee very painful ππππ