Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo inaonesha kuwa uko tied na roho yako yaani mwili wako na roho havitengani hasa wakati mwili wako uko unconscious ambapo inapelekea kile ufanyacho rohoni kufanya mwilini pia ndo maana unaota na kukifanya unachoota.Sasa iliyonitokea leo nahisi kuna shida mahali wakuu miaka 27 nakojoa kitandani daah tena ya leo kali nimeshituka usingizi daaah kujitazama kwenye godoro mkojo umetapakaa kwenye godoro na kwenye boxer kote kuna mikojo nikakaa kitandani na kuwaza kwanini hivi? Na why Mimi 😬😬😬
Wakuu mnisaidie hii ni hali ya kawaida? Na je nifanyeje kuepukana na hali hii ! Aiseee very painful 😖😖😖😖
NakubaliPole sana mkuu fanya mambo yafuatayo kudhibiti tatizo lako
1. Kojoa kabla ya kwenda kulala
2. Usinywe maji mengi kabla ya kulala
3. Ukiona choo au kichaka ndotoni usikojoe ni mtego huo
Wewe ni KE au ME ?Sasa iliyonitokea leo nahisi kuna shida mahali wakuu miaka 27 nakojoa kitandani daah tena ya leo kali nimeshituka usingizi daaah kujitazama kwenye godoro mkojo umetapakaa kwenye godoro na kwenye boxer kote kuna mikojo nikakaa kitandani na kuwaza kwanini hivi? Na why Mimi 😬😬😬
Wakuu mnisaidie hii ni hali ya kawaida? Na je nifanyeje kuepukana na hali hii ! Aiseee very painful 😖😖😖😖
Mkuu pole kw akukojoa kitandani nitafute kwa wakati wako ili niwezekukutibia maradhi yako uwezekupona.Sasa iliyonitokea leo nahisi kuna shida mahali wakuu miaka 27 nakojoa kitandani daah tena ya leo kali nimeshituka usingizi daaah kujitazama kwenye godoro mkojo umetapakaa kwenye godoro na kwenye boxer kote kuna mikojo nikakaa kitandani na kuwaza kwanini hivi? Na why Mimi 😬😬😬
Wakuu mnisaidie hii ni hali ya kawaida? Na je nifanyeje kuepukana na hali hii ! Aiseee very painful 😖😖😖😖
Daah hii komenti ya mwisho umeua mkuu 😂Pole sana mkuu fanya mambo yafuatayo kudhibiti tatizo lako
1. Kojoa kabla ya kwenda kulala
2. Usinywe maji mengi kabla ya kulala
3. Ukiona choo au kichaka ndotoni usikojoe ni mtego huo
MKuu nimempa ushauri akishindwa na hapo atajikojolea hadi achoke😆Daah hii komenti ya mwisho umeua mkuu 😂
Duuh afanye mpango apate tiba asee.MKuu nimempa ushauri akishindwa na hapo atajikojolea hadi achoke😆