Kinachosababisha kukojoa ni Maji na ubaridi tumboni, hio nimefanyia tafiti ya muda mrefu kikojozi usiku asilale kwenye ubaridi lazima alimwage na wengi ambao ni vikojozi ni walala ovyo jitu linalala km limekufa unaweza ukalibeba ukaenda kulilaza nje na lisishtuke hata kidogo linakoroma tu, ushawahi kumuona mtu amelala km amekufa? Ndio hao vikojozi yaan akilala amelala na watu km hao hawatakiwi kua watu wa tungi maana vichwa vyao ni kipengele anaweza hata akashindwa kutimiza majukumu yake ya kikazi kwa kuendekeza usingizi, nna ndugu yangu yeye tangu mdogo mpaka sasa amekua ana mke na watoto ila ni kikojozi, mpaka unajiuliza yule Mwanamke anamvumiaje yule mtu na hali ile ya kujikojolea maana sasa anaukimbilia uzee na hajaacha kukojoa kitandani