Umekojoa leo tu kitandani au mara Kwa mara???Sasa iliyonitokea leo nahisi kuna shida mahali wakuu miaka 27 nakojoa kitandani daah tena ya leo kali nimeshituka usingizi daaah kujitazama kwenye godoro mkojo umetapakaa kwenye godoro na kwenye boxer kote kuna mikojo nikakaa kitandani na kuwaza kwanini hivi? Na why Mimi π¬π¬π¬
Wakuu mnisaidie hii ni hali ya kawaida? Na je nifanyeje kuepukana na hali hii ! Aiseee very painful ππππ
Ushauri wa BICHWAKOMWEπWhat you RESIST PERSIST.
Ukitaka kulishinda jambo unapaswa kutolichukulia kama TATIZO. It is a MAGNET or MIND MAGNETISM.
Unapaswa kufurahia kujikojolea, tamani kujikojoleaa, dhamiria kujikojoleaaa. UTASHANGAA HAUJIKOJOLEI NG'OO.
Vitu tunavyovipenda sana huwa vinaondolewa, halafu tunavyovichukia sana ndio tunaletewa mpaka vinafurika.
It is a TRICK, just play along the rules and see the miracles.
Sasa ole wako ujifanye ati unachukia kujikojolea, mara ati unatafuta sijui TIBA mpaka unaenda kwa sangoma, mara unakunywa maji ya mchele, HUPONI NG'OO.
Utakojoa mpaka godoro likikuona linajificha.
Cc: Pascal Mayalla Extrovert DR Mambo Jambo Poor Brain
Kitaalam inatwa nocturnal enuresis. Sema kwako umesha fikisha umri mkubwa huenda likawa tatizo la urology, hospital linatibika kwa vidongeSasa iliyonitokea leo nahisi kuna shida mahali wakuu miaka 27 nakojoa kitandani daah tena ya leo kali nimeshituka usingizi daaah kujitazama kwenye godoro mkojo umetapakaa kwenye godoro na kwenye boxer kote kuna mikojo nikakaa kitandani na kuwaza kwanini hivi? Na why Mimi π¬π¬π¬
Wakuu mnisaidie hii ni hali ya kawaida? Na je nifanyeje kuepukana na hali hii ! Aiseee very painful ππππ
Ndo maana nakataza watu waache kutumia maji ya mcheleWhat you RESIST PERSIST.
Ukitaka kulishinda jambo unapaswa kutolichukulia kama TATIZO. It is a MAGNET or MIND MAGNETISM.
Unapaswa kufurahia kujikojolea, tamani kujikojoleaa, dhamiria kujikojoleaaa. UTASHANGAA HAUJIKOJOLEI NG'OO.
Vitu tunavyovipenda sana huwa vinaondolewa, halafu tunavyovichukia sana ndio tunaletewa mpaka vinafurika.
It is a TRICK, just play along the rules and see the miracles.
Sasa ole wako ujifanye ati unachukia kujikojolea, mara ati unatafuta sijui TIBA mpaka unaenda kwa sangoma, mara unakunywa maji ya mchele, HUPONI NG'OO.
Utakojoa mpaka godoro likikuona linajificha.
Cc: Pascal Mayalla Extrovert DR Mambo Jambo Poor Brain
Ni kazi ya shetani. Nenda ukaombewe kaka na pole.Sasa iliyonitokea leo nahisi kuna shida mahali wakuu miaka 27 nakojoa kitandani daah tena ya leo kali nimeshituka usingizi daaah kujitazama kwenye godoro mkojo umetapakaa kwenye godoro na kwenye boxer kote kuna mikojo nikakaa kitandani na kuwaza kwanini hivi? Na why Mimi π¬π¬π¬
Wakuu mnisaidie hii ni hali ya kawaida? Na je nifanyeje kuepukana na hali hii ! Aiseee very painful ππππ
Halafu maji ya mchele yanaongeza sana shahawa.Ndo maana nakataza watu waache kutumia maji ya mchele
π€£π€£π€£π€£3. Ukiona choo au kichaka ndotoni usikojoe ni mtego huo
Kali sana hii! Mkeo anatakiwa awe msiri na asiwe mnywa pombeSasa iliyonitokea leo nahisi kuna shida mahali wakuu miaka 27 nakojoa kitandani daah tena ya leo kali nimeshituka usingizi daaah kujitazama kwenye godoro mkojo umetapakaa kwenye godoro na kwenye boxer kote kuna mikojo nikakaa kitandani na kuwaza kwanini hivi? Na why Mimi π¬π¬π¬
Wakuu mnisaidie hii ni hali ya kawaida? Na je nifanyeje kuepukana na hali hii ! Aiseee very painful ππππ
Nitafute ninayo dawa ya kutibu kukojoa kitandani 06217970903Sasa iliyonitokea leo nahisi kuna shida mahali wakuu miaka 27 nakojoa kitandani daah tena ya leo kali nimeshituka usingizi daaah kujitazama kwenye godoro mkojo umetapakaa kwenye godoro na kwenye boxer kote kuna mikojo nikakaa kitandani na kuwaza kwanini hivi? Na why Mimi π¬π¬π¬
Wakuu mnisaidie hii ni hali ya kawaida? Na je nifanyeje kuepukana na hali hii ! Aiseee very painful ππππ
Chemsha zile ndevu za mahindi mabichi...kunywa asubuhi na jioni wiki 1 ukiona bado unaendelea hata wiki 2 ila wiki tuu inatosha unaacha kabisaa.Umekojoa leo tu kitandani au mara Kwa mara???
Kinachosababisha kukojoa ni Maji na ubaridi tumboni, hio nimefanyia tafiti ya muda mrefu kikojozi usiku asilale kwenye ubaridi lazima alimwage na wengi ambao ni vikojozi ni walala ovyo jitu linalala km limekufa unaweza ukalibeba ukaenda kulilaza nje na lisishtuke hata kidogo linakoroma tu, ushawahi kumuona mtu amelala km amekufa? Ndio hao vikojozi yaan akilala amelala na watu km hao hawatakiwi kua watu wa tungi maana vichwa vyao ni kipengele anaweza hata akashindwa kutimiza majukumu yake ya kikazi kwa kuendekeza usingizi, nna ndugu yangu yeye tangu mdogo mpaka sasa amekua ana mke na watoto ila ni kikojozi, mpaka unajiuliza yule Mwanamke anamvumiaje yule mtu na hali ile ya kujikojolea maana sasa anaukimbilia uzee na hajaacha kukojoa kitandaniChemsha zile ndevu za mahindi mabichi...kunywa asubuhi na jioni wiki 1 ukiona bado unaendelea hata wiki 2 ila wiki tuu inatosha unaacha kabisaa.