FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Na hizi dawa zakuongeza nguvu za kiuume ndo zinachangia kuwapotezaWanaume wanapungua kwa kasi sana.
Acha wapotee tubaki wachache ili tuwatafune vizuri (ke).Na hizi dawa zakuongeza nguvu za kiuume ndo zinachangia kuwapoteza
Sent using Jamii Forums mobile app
Maisha ya ki digital hayo.Hii fashion nimeanza kuiona inashika kasi sana, sidhani kama inaleta picha nzuri sana, ni mawazo yangu tu. Hasa Dar.
Tena vikaptula vyenyewe vina marangi rangi na maua maua.., what is this?
Nimemtag huyo jamaa ili aje athibitishe maana mafaili yangu sina uhakika nayo sana.Naomba link tafadhali niupitie
Kumbe hilo jina nililokupa umelipenda? Au nikuite Yolanda.
Lolote mzee mamaKumbe hilo jina nililokupa umelipenda? Au nikuite Yolanda.