ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,120
- 5,352
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alaaa...! Ndio jina lake kumbe?Vinjunga.
Mkuu mtaje tu muhusika usipindishe pindishe madaHii fashion nimeanza kuiona inashika kasi sana, sidhani kama inaleta picha nzuri sana, ni mawazo yangu tu. Hasa Dar.
Tena vikaptula vyenyewe vina marangi rangi na maua maua.., what is this?
Umoja ni "kinjunga"Alaaa...! Ndio jina lake kumbe?
yaani unaweza jiuliza mara mbili mbili hivi huyu mtu anajiheshinu na kujielewa kweli?Hii fashion nimeanza kuiona inashika kasi sana, sidhani kama inaleta picha nzuri sana, ni mawazo yangu tu. Hasa Dar.
Tena vikaptula vyenyewe vina marangi rangi na maua maua.., what is this?
Mkeo ana KAZI mkuu! No wonder una kademu kamepauka kama jina lako! Natania!yaani unaweza jiuliza mara mbili mbili hivi huyu mtu anajiheshinu na kujielewa kweli?
Sasa ukute kibukta kina maua maua halafu kinaishia juu ya magoti aisee ukimchek chini ana vitege na vigimbi halafu kamguu kembambaa!
Hii nguo kwangu ni ya kuvaa home tu ama beach
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]akatafute dona la watoto wakeAchana na hao wananchi fanya shughuli zako nyingine
hahaha sina demu wala mke mkuuMkeo ana KAZI mkuu! No wonder una kademu kamepauka kama jina lako! Natania!
Yeah, hebu tuwekee picha basiHuwa wanatamanisha Sana kuwatafuna
Yaani kitu kinaonekana kwa macho peupe uchunguzi utoke wapi au umeambiwa wanavalia ndani ya surualiWenzangu huu muda wa kuchunguza fulani kavaa nini mnaupataje?!
Hujaipata point tu hapo mkuu. Kama jambo haliathiri maisha yako au shughuli zako za utafutaji kwanini ukereke nalo?! Eleza vikaptula vifupi vinakwamisha vipi shughuli zako za kujitafutia kipato?!Yaani kitu kinaonekana kwa macho peupe uchunguzi utoke wapi au umeambiwa wanavalia ndani ya suruali
Sent using Jamii Forums mobile app