Hivi hii tabia ya Wanaume kuvaa vikaptula vifupi, laini vya kubana imetokea wapi tena?

Hivi hii tabia ya Wanaume kuvaa vikaptula vifupi, laini vya kubana imetokea wapi tena?

Hujaipata point tu hapo mkuu. Kama jambo haliathiri maisha yako au shughuli zako za utafutaji kwanini ukereke nalo?! Eleza vikaptula vifupi vinakwamisha vipi shughuli zako za kujitafutia kipato?!
Hivi mwanaume kutingisha matamko mchuzi barabarani kama punga we unaona haiathiri day to day physchological well being ya jamii? Aisee..., tunaumizwa kisaikolojia, tena tunaumizwa pakubwa pale unapoona mtu anadhalilisha jamii bila aibu
 
Mkulu weka Picha,Tupo siti za nyuma kabisa
Hio hapo
Screenshot_20190315-153816.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hawavunji sheria au kudhuru wengine basi Let them live their life!! Besides, naona joto la Dar pia linachangia wao kuvaa hivyo!!!
Kweli joto ndio sababu kuu
 
 
Back
Top Bottom