[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]akatafute dona la watoto wake
Sent using Jamii Forums mobile app
MmhNi vazi la kishogashoga flani hivi,,hata wanaovaa hivyo ukiwafatilia mambo yao kwa karibu wana element za ushoga,,
Sent using Jamii Forums mobile app
haahaKumbehilo jina nililokupa umelipenda? Au nikuite Yolanda.
Wazee wa weka picha msilalamikeš¤£š¤£
Say no MoreUngetupia na tupicha hapa ingesaidia namna ya utoaji maoni.
lete picha
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sipendi mwanaume avae kaptura aseee
[emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787]
dawa za kuongeza nguvu za kiume na hilo tatizo ni myth, ni imani tu zankishirikina , kuamini mtu kapungukiwa na nguvu za.kiume hakuna tofauti na ushirkinaNa hizi dawa zakuongeza nguvu za kiuume ndo zinachangia kuwapoteza
Sent using Jamii Forums mobile app