Hivi hii Tabia ya wanawake (wake zetu) kuacha simu ovyo ni ya wanawake wote ama mimi tu?

Hivi hii Tabia ya wanawake (wake zetu) kuacha simu ovyo ni ya wanawake wote ama mimi tu?

Tuko wengi.Mwenyewe alishaongea Hadi basi.Kuna muda hata kama nipo nyumbani anaamua Tu kupiga kwenye kasimu Ka nyumbani kwa sababu muda wote yenyewe inakua sebleni.Yangu kuna muda naikuta kwenye vyombo jikoni."Utaskia dada em nipib"
Mnakera sana sasa simu kwenye vyombo imefata nini kule maana yake umakini ni mdogo sana
 
Watu mna mbinu sana asee. Hii imekaa kibabe lakini ni ya kumnyoosha kabisa.Shukrani
Kingine, pesa ya matumizi usitoe usiku, toa asubuhi unapokua unaondoka na usimpe mkeo chumbani.

Wasikilize wanafamilia yako wote, mmoja baada ya mwingine, kisha kama ni shida unayoweza kutatua hapo hapo unatatua(kama mtoto labda anataka daftari unazama mfukoni unatoa.)

Hakikisha mama yao pia unampa pesa ya matumizi mbele yao, yaani mfanye mama yao nae kama hao watoto.
 
Tuvumilie tu mi wa kwangu ashakubaliana na hali,nami kuna mda ananikera unapiga mara nne zote kwani kuna taarifa ya msiba?mi kwanza sipendi kuongea na simu
 
Aisee hii kitu inaudhi jamani, mama yangu sikuhizi simpigii simu yake kabisa, nikitaka kuongea nae nampigia mzee tu namwambia ampe mke wak simu😅😅, maana mama unaweza kupiga hata mara 10 kumbe simu ipo kwenye banda la kuku yeye yupo sijui wapi dah!
 
Back
Top Bottom