The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nikweli sijawahi ona kiashiria chochote kiovu. Ila changamoto ni hiyo tu asee inakera sana hasa ukiwa na issue ya muhimu.Nikiwa najibu uzi hapa kwenye saa2 nimepiga simu nimkumbushe kuweka chakula cha vifaranga simu haijapokelewa mara3 amenipigia saa3 wanaenda kulala na aksema simu ilikuwa kitandani! leo hii hii nikiwa najibu uzi hapahpa....Believe it or not, huyo ndie mwanamke sahihi wa maisha ya NDOA.
Unaweza usinielewe leo, ila jitahidi asibadilike.
Wa AljazeeraAione best friend yako Odemba
Weka msauti kama honi ya semiKero inakuja pale una issue ya muhimu inabidi itatulike muda huo halafu unapiga simu inaita hadi inakata. Hii mbaya sana
Pia kutokuwa na mfuko sio sababu maana unaweza kuwa unafua simu ukaiweka mahala penye usalama na ikipigiwa utasikia
Ni kweli ila mshukuru Mungu angalau changamoto yako ni hiyo. Kuna changamoto zinazovumilika na at least zina plan B (unaona kwamba unaweza kupiga simu kwa jirani na ukampata).Mkuu kuna vitu vya muhimu unataka uwasiliane na mkeo muda huo na unapiga simu haipokelewi
hujui huwa wanakera sana
Mhh sio wote yuko huyo shemeji yangu hujamaliza kuandika kisha jibu naona unaandika vipi tena yaani huyo mtumie hata msg saa 9 usiku anakujibu mpaka unashangaa hana kazi na mume wake yupo wapi. kwa ufupi anashida hakuna habari ikampita mpaka namuonea huruma sijui ndoa kama ataiweza. Nadhani bora ya huyo unayemuongelea.Nakubali
Mwanamke asiepokea simu kwa wakati ni mwepesi sana ku deal nae.Wakuu sio mara moja au mbili ni mara kadhaa hasa ukipiga simu haipokelewi kwa wakati.
Ukija kuuliza unaambiwa simu ilikuwa mbali,ilikuwa ndani mimi nilikuwa naosha vyombo/nafua.
Visingizio hivi ni vya miaka na miaka haijawahi kubadirika kitu.
Kuna muda itakupasa upige simu kwa jirani maana yake umepiga zaidi ya mara5 haipokelewi.Na kwa sababu una shida unaamua kumtumia jirani yako walau ampelekee au amwambie apokee simu na kweli anakutafuta.
Si hivyo tu unaweza ukawa home ghafla anakwambia Baba p naomba uipigie simu yangu siioni sijui nimeweka wapi!!
Ukija kuipigia utakuta imewekwa kwenye manguo machafu au popote pale.
Mwanzo nilijua ni makusudi Nika mnyang'anya simu kubwa na kumpa kiswaswadu mambo yakawa Yale Yale.
Tena ukiwapo nyumbani inaweza achwa kitandani kutwa nzima Hana habari akipigiwa wewe ndo unamwabia ijia simu yako unapigiwa akimaliza kuongea anaicha sebreni. Ukimuuliza nini mana ya kuwa na simu Sasa........? Pona yako simu kupokelewa basi ukute anacheza game au yupo mtandaoni YouTube huko.
Hii changamoto mara nyingi nilijua mimi tu. Nikiwa kazini wengi huwa wanakuja kupiga simu nyumbani kwao kwa kutumia simu yangu.
Ukimpa simu anapo kurudishia utasikia analalamika huyu mwanamke sijui anashida gani yaani anapokeaga simu akijisikia yeye..ukija muuliza bona hukupokea simu yangu anaeleza sababu za kipuuzi tu.
Mdau wewe unadiri vipi na changamoto hii?View attachment 3245584
Wewe una akili sanaMimi mwaka jana tu hapo sikupokea simu bwana mkubwa alipiga mara 3! Alisusa mwezi mzima hakupiga simu na yuko mbali jamani! Ni texts tu.
Nilikoma hadi leo hata nikilala nahakikisha simu ina sauti ya juu ikipigwa nisikie!
Hapa namaanisha tafuta kitakamchomfanya aache hiyo tabia, bado hujajua pa kumkomesha.
Unaweza kumuahidi zawadi, ukipiga asipopokea mwambie ndio ulikuwa unamuuliza umletee ya aina gani na hajapokea simu, ndio basi tena.
Huenda akabadilika.
Akiweka pesa ya matumizi hovyo, ukiikuta hiyo hela pita nayo, akikupigia kukuuliza kama umeiona mwambie ndio nimeichukua, nilikua na shida nayo nimeitumia.Nadhani asilimia 98 ya wanawake wapo hvo..mimi wakwangu hata pesa ukimpatia utakuta anaweka hovyo mara dirishani mara nje uwani kwenye mawe mara sebuleni kwenye masufuria..hii tabia vip wanawake wengine wanayo?Simu ndo usiseme anaweza weka juu ya paa akasahau,, nimeamua kuwa mpole tu.
Siyo wenye michepukoWengi wapo hivyo.
Alishaumwa na nyoka ujueWewe una akili sana
Au anaficha maana mchepuko unaweza piga jaamaa yupo karibuSasa unatuta mtu kavaa nguo haina mfuko anaanza vipi kuwa na simu kila mahali,.
Ila shukuru Mungu hana heka heka huyo za simu. Kuna wanawake masaa yote ni yeye na simu simu na yeye ni kuchat tu. Anapika huku anachat, anafua huku anachat nk.
Niliwahi kuwa na house girl wa hivyo akanishinda,maana hata ukitoa maelekezo hasikiiSasa unatuta mtu kavaa nguo haina mfuko anaanza vipi kuwa na simu kila mahali,.
Ila shukuru Mungu hana heka heka huyo za simu. Kuna wanawake masaa yote ni yeye na simu simu na yeye ni kuchat tu. Anapika huku anachat, anafua huku anachat nk.