Hivi hii Tabia ya wanawake (wake zetu) kuacha simu ovyo ni ya wanawake wote ama mimi tu?

Hivi hii Tabia ya wanawake (wake zetu) kuacha simu ovyo ni ya wanawake wote ama mimi tu?

Kero inakuja pale una issue ya muhimu inabidi itatulike muda huo halafu unapiga simu inaita hadi inakata. Hii mbaya sana

Pia kutokuwa na mfuko sio sababu maana unaweza kuwa unafua simu ukaiweka mahala penye usalama na ikipigiwa utasikia
Tàtizo mnawaacha na viswaswadu, mnunulie iPhone.
 
Wakuu sio mara moja au mbili ni mara kadhaa hasa ukipiga simu haipokelewi kwa wakati.

Ukija kuuliza unaambiwa simu ilikuwa mbali,ilikuwa ndani mimi nilikuwa naosha vyombo/nafua.

Visingizio hivi ni vya miaka na miaka haijawahi kubadirika kitu.

Kuna muda itakupasa upige simu kwa jirani maana yake umepiga zaidi ya mara5 haipokelewi.Na kwa sababu una shida unaamua kumtumia jirani yako walau ampelekee au amwambie apokee simu na kweli anakutafuta.

Si hivyo tu unaweza ukawa home ghafla anakwambia Baba p naomba uipigie simu yangu siioni sijui nimeweka wapi!!

Ukija kuipigia utakuta imewekwa kwenye manguo machafu au popote pale.

Mwanzo nilijua ni makusudi Nika mnyang'anya simu kubwa na kumpa kiswaswadu mambo yakawa Yale Yale.

Tena ukiwapo nyumbani inaweza achwa kitandani kutwa nzima Hana habari akipigiwa wewe ndo unamwabia ijia simu yako unapigiwa akimaliza kuongea anaicha sebreni. Ukimuuliza nini mana ya kuwa na simu Sasa........? Pona yako simu kupokelewa basi ukute anacheza game au yupo mtandaoni YouTube huko.

Hii changamoto mara nyingi nilijua mimi tu. Nikiwa kazini wengi huwa wanakuja kupiga simu nyumbani kwao kwa kutumia simu yangu.

Ukimpa simu anapo kurudishia utasikia analalamika huyu mwanamke sijui anashida gani yaani anapokeaga simu akijisikia yeye..ukija muuliza bona hukupokea simu yangu anaeleza sababu za kipuuzi tu.

Mdau wewe unadiri vipi na changamoto hii?View attachment 3245584
Ukiona hivyo na simu yake unaijua password hana mambo mengi ya kuficha ktk simu yake.
 
Mimi mwaka jana tu hapo sikupokea simu bwana mkubwa alipiga mara 3! Alisusa mwezi mzima hakupiga simu na yuko mbali jamani! Ni texts tu.

Nilikoma hadi leo hata nikilala nahakikisha simu ina sauti ya juu ikipigwa nisikie!

Hapa namaanisha tafuta kitakamchomfanya aache hiyo tabia, bado hujajua pa kumkomesha.

Unaweza kumuahidi zawadi, ukipiga asipopokea mwambie ndio ulikuwa unamuuliza umletee ya aina gani na hajapokea simu, ndio basi tena.
Huenda akabadilika.
Hii ndio maana wanaume huwa hatupigi simu mra kwa mara nyumbani mana hampokei.

Sasa ukimuahidi zawadi na isije tabia yake itarudi .Nichangamoto kwakweli
 
Mkuu, ukiona mkeo anapokea simu haraka jua unagongewa,manake atataka kila mala awe na simu mkononi,ili hata huyo hawala yake akimtafta bahati mbaya wewe upo amuwahi kumtuliza kuwa "jamaa yupo" huyo wewe uliyenae anakuonesha indicator kuwa yeye hachepuki na unaweza kushka simu yake wakati na muda wowote kumkagua! Asanaleki,akibadilika utamjua.
 
Mkuu kwa hili kuwa Mpole tu!
Mimi nilishanyosha mikono nikaamua kutulia.
Hata mimi nishalala mika hadi basi.Kuna siku wageni walisubiri wafatwe barabarani kama masaa3 halafu wazazi sasa niliona kama kafanya makusudi.Mi nimekuja kuona simu yangu maana nilikuwa kwenye kikao simu nikaacha ofisini mzee kanitafut kama 4 yeye anajua nikiwa kazini juna muda akipiga nakata simu ila nitamrudia.

Hivyo ilibidi nipigie boda awapeleke japo ni mwendo wa kutembea kwa miguu kama dk saba tu
 
Wakuu sio mara moja au mbili ni mara kadhaa hasa ukipiga simu haipokelewi kwa wakati.

Ukija kuuliza unaambiwa simu ilikuwa mbali,ilikuwa ndani mimi nilikuwa naosha vyombo/nafua.

Visingizio hivi ni vya miaka na miaka haijawahi kubadirika kitu.

Kuna muda itakupasa upige simu kwa jirani maana yake umepiga zaidi ya mara5 haipokelewi.Na kwa sababu una shida unaamua kumtumia jirani yako walau ampelekee au amwambie apokee simu na kweli anakutafuta.

Si hivyo tu unaweza ukawa home ghafla anakwambia Baba p naomba uipigie simu yangu siioni sijui nimeweka wapi!!

Ukija kuipigia utakuta imewekwa kwenye manguo machafu au popote pale.

Mwanzo nilijua ni makusudi Nika mnyang'anya simu kubwa na kumpa kiswaswadu mambo yakawa Yale Yale.

Tena ukiwapo nyumbani inaweza achwa kitandani kutwa nzima Hana habari akipigiwa wewe ndo unamwabia ijia simu yako unapigiwa akimaliza kuongea anaicha sebreni. Ukimuuliza nini mana ya kuwa na simu Sasa........? Pona yako simu kupokelewa basi ukute anacheza game au yupo mtandaoni YouTube huko.

Hii changamoto mara nyingi nilijua mimi tu. Nikiwa kazini wengi huwa wanakuja kupiga simu nyumbani kwao kwa kutumia simu yangu.

Ukimpa simu anapo kurudishia utasikia analalamika huyu mwanamke sijui anashida gani yaani anapokeaga simu akijisikia yeye..ukija muuliza bona hukupokea simu yangu anaeleza sababu za kipuuzi tu.

Mdau wewe unadiri vipi na changamoto hii?View attachment 3245584
Tatizo la wanaume wengi hawaijui saikolojia ya wanawake ndio maana kila jambo ni kulalamika tu juu ya wanawake kuna mambo ni aibu kuyaandika kwa wanaume wenzio, jitahidi ukue mkuu.
 
Aisee Mimi mpaka sasa namtumia dada wa kazi kiwasiliana na mkewangu. Mtu unapiga simu mara 10 hapokei na yupo nyumbani na simu ipo nyumbani yani mpaka naona kama ananifanyia kusudi. Nikimuuliza anasema nilikua mbali na simu. Nimeamua kumzoea tu sasa nitafanyaje maana habadiliki.
 
Back
Top Bottom